Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Soma maneno ya mwisho kwenye hiyo screenshot yako... na kampuni kuficha mafuta.
Sasa jukumu la serikali yenu ni lipi?, Kwahiyo huko kwenu watu/wafanyabiashara wanaeweza kuficha mafuta na kutatiza uchumi wa nchi kwa zaidi ya siku 7 bila kuchukuliwa hatua zozote, ninyi ni wapuuzi kuzidi nchi zote hapa Africa
 
Mtamuelewa tuu 👇

Screenshot_20220404-171143.png


Screenshot_20220404-220413.png
 
Kenya mna poor management ya uchumi kabisa,hakuna kuweka sarafu moja hadi mrudi kwenye msitari.

Mnakiuka Sana ceilings zinazowekwa,siku sio nyingi mtakuwa kama Sri Lanka.

Deficit inazidi hadi ya kwenye bajeti,fukuzeni Waziri wa uchumi Kazi imemshinda.

Screenshot_20220404-184419.png


Screenshot_20220404-184428.png
 
We feed you stupid, we stay in better houses not slums, all our development projects are progressing well while yours 54% were abandoned due to lack of funds, our debts is only 36% while yours is 80% of GDP, only 26% population is below poverty line, while in Kenya is about 43%
Give me any link stating that Tanzania feeds Kenya. Do the same and give me any link stating that 54% of our projects have been abandoned. Lastly, where did you get the figure that only 26% of Tanzanians live below poverty line while in Kenya it is 43%?

I can debunk everything you've stated here with factual information from reliable sources unlike you whose 'reliable' source is your mind
 
Sasa jukumu la serikali yenu ni lipi?, Kwahiyo huko kwenu watu/wafanyabiashara wanaeweza kuficha mafuta na kutatiza uchumi wa nchi kwa zaidi ya siku 7 bila kuchukuliwa hatua zozote, ninyi ni wapuuzi kuzidi nchi zote hapa Africa
Na huo upuuzi wetu mnazidi kusoma number yetu, that's the funny thing bongolala
 
Umejaa usaha kichwani..

Wewe na huyo unaemshabikia hapa zitaje hizo ofisi unazozisema vinginevyo unaongea matapishi ya mbwa tuu..

Mama kwa maneno yake amekataa bullying kwa sababu haina tija.

Upuuzi wa hivi mama kakataa uwe unaelewa wewe kenge,kama unakulipa peleka kwa Mkeo na watoto wako watakushukuru.

View attachment 2175870
umeona saaa matope unayoongea,hata hujielewi hapa hatuzungumzii mama wala baba back to the content, huu uzi ni wa battle ya dar vs nairobi ,hizo story za mama sijui kafanya nini peleka kwenye familia yako otherwise hapa unakuwa kituko cartoon wetu,

huna hoja hata dhumuni la huu uzi hujui unaropoka ropoka tu panya we,

kila siku mama mama,huna kazi ya kufanya hebu jaribu kufuata tittle ya uzi hata siku moja kisha umuingizie mama kupitia tittle ya huu uzi uone kama tutakudharau,
huna hoja

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kenyan budget is bigger than Nigerian budget, people who are stupid like you do use expenditure as an indicator of better economy, but smart people use production as indicator for good economy, if you collect more money than Tanzania, why you can't complete the remaining part of SGR?
Kenya's budget is only bigger than Nigeria's Federal budget. In Nigeria, each state has it's on budget and the federal government also has its budget. The total budget is way bigger than Kenya's - and yes, a bigger budget means a bigger economy. I wouldn't expect a nincompoop from Tandale to understand that though.🚮🚮🚮
 
Could i pose this question to Tanzanians in this forum/thread..
How much is fuel in the country?
 
Remember government don't distribute fuel to the final consumer unless in your country?
But if wholesalers are hoarding petroleum products retailers can buy from government reserves this will defeat cartels. Countries worldwide with big GDPs have their own reserves such as USA government, UK, Germany etc If GOK does not keep reserves then you are in a very sorry state.
 
And who told you the government doesn't have its own reserves? KPC has over 69 million liters of super petrol, 94 million liters of diesel, 13 million liters of kerosene and 23million liters of jet fuel in its reserve as at two days ago


Ubaya ni kwamba mnajifanya mnajua masuala ya Kenya kuliko sisi wakenya wenyewe
Haingii akilini store unachakula cha kutosha halafu unakufa njaa huo ni upuuzi wa hali ya juu msitudanganye the GOK is broke.
 
Back
Top Bottom