Kweli hili taahira
"unakagua gari umetengeneza wewe..."
Sasa madawa na bidhaa nyingine kutoka nje TBS huwa inazikagua ili iweje sababu hazitengenezwi Tanzania!
Yaani hili ni janga kubwa zaidi ya tunavyodhani, tupo hapa Muumba atupe uhai ila mkataba wa gas ni kihama
Magufuli alitaka kujua kinaganaga kwanini plant iwe billion 30$
Investor akisema anainvest billion 30$ kwenye rasilimali yako sio jambo la kufurahia sababu hiyo pesa atatakiwa airudishe yote kwanza then ndio faida ifate, wawekezaji wana over estimate na kufluctuate gharama za uwekezaji ili wakupige kwenye return of investment capital
Atawekeza billion 1 akuambie billion 10 ili wakati anakusanya zaidi ajitetee kwamba narudisha mtaji wangu wa uwekezaji
Cha kushangaza saivi tu naambiwa sio billion 30$ tena bali zitakua billion 40$ upigaji uliotukuka japo watu wanashangilia pasi kujua ni kifo cha gas yetu hiki