Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ni lini,wapi ,mda gani ulifanya hizo tafiti zako uchwara?

na unaweza kuniambia ulitumia mbinu gani kujihakikishia hicho ulichokiokota?


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
There's no day Tanzania will be ahead of Kenya in anything apart from poverty and iliteracy and witchcraft. Take that to the bank.
 
msikieni huyu tujenge train ya umeme tusiwe na umeme wakuweka taa barabarani tupeleke umeme vijijini karibia 86%
Mumepeleka umeme wapi wakati nchi nzima only 3M customers are connected to electricity?

Screenshot_20220331-102205.jpg
 
ndo mana unaambiwaga humu tumia kichwa kufikiri na sio kama kifuniko cha shingo
You are talking about reasoning yet studies have revealed that Tanzanians only use 1% of their brain to reason?
 
Wacha kujidanganya. Wareno hawakuwa na lengo la kupiga Tanzania na hio ndio maana hawakutuma jeshi lao kuja kuvamia Tanzania. Wareno walichotaka ni kupigana na Frelimo pindi tu wanapovuka border na kuingia Mozambique kutoka TZ. Nakuhakikishia kwamba kama Wareno wangedeclare war against Tanzania mngeumia sana nyinyi. Ukumbuke wakati huo in the 1960s jeshi la Kenya,Tanzania na Uganda zilikuwa hovyo. Hazikuwa na equipments za kutosha kwa mfano ndege za kivita au meli za kivita au vifaru. Hawa wazungu walikuwa
wanamiliki hivi vifaa vyote. Baada ya kujipatia uhuru jeshi zetu zilikuwa hovyo kabisa. Huo ndio ukweli. Nyie mna bahati Wareno hawakudeclare vita dhidi ya Tanzania kwa maana mngepigwa muwe vumbi.
Kama wareno hawakuamua kutupiga, sisi tuliamua kuwapiga kwa wakati wote huo, Sasa Kama jirani yako anakupiga na kuingiza Nyumbani kwako kwa zaidi ya miaka kumi lakini wewe hutaki kumfuata kwake hiyo ni dalili gani?, Mbona ninyi Alshababs waliokua wakivuka mpaka na kuwakamata watalii mliamua kuwafuata huko kwao?.

Ukweli ni kwamba, ndege za wareno zilikua zinaingia kusini mwa Tanzania na kupiga mabomu, mizinga Yao ilikua ikishambulia Sana kusini mwa Tanzania hadi tukalazimika kuwahamisha wanavijiji waliokuwa wakiishi mipakani.

Sasa hapo ndio unakuja umuhimu wa nchi za Russia, China na Cuba, huyo rais Puttin na makomandoo wengi wa Urusi na Cuba, walikua wakifundisha JWTZ na kuwapa silaha za kuweza kuwazuia wareno kuipiga Tanzania, kumbuka jinsi Angola ilivyolishinda Jeshi kubwa lenye nguvu la utawala wa makaburu wa Afrika ya kusini chini ya usaidizi wa majeshi ya Cuba.
 
There's no day Tanzania will be ahead of Kenya in anything apart from poverty and iliteracy and witchcraft. Take that to the bank.
Kenya leads Tanzania only on
1)Tribalism
2) Corruption
3)Hunger and starvation
4) Crime and terrorism
5) Political instability
6) Nepotism
7)Police killings and brutality
8)Ugly ladies
 
Kenya leads Tanzania only on
1)Tribalism
2) Corruption
3)Hunger and starvation
4) Crime and terrorism
5) Political instability
6) Nepotism
7)Police killings and brutality
8)Ugly ladies
Your lies has been exposed now you are back spreading rumours
 
Wacha kujidanganya. Wareno hawakuwa na lengo la kupiga Tanzania na hio ndio maana hawakutuma jeshi lao kuja kuvamia Tanzania. Wareno walichotaka ni kupigana na Frelimo pindi tu wanapovuka border na kuingia Mozambique kutoka TZ. Nakuhakikishia kwamba kama Wareno wangedeclare war against Tanzania mngeumia sana nyinyi. Ukumbuke wakati huo in the 1960s jeshi la Kenya,Tanzania na Uganda zilikuwa hovyo. Hazikuwa na equipments za kutosha kwa mfano ndege za kivita au meli za kivita au vifaru. Hawa wazungu walikuwa
wanamiliki hivi vifaa vyote. Baada ya kujipatia uhuru jeshi zetu zilikuwa hovyo kabisa. Huo ndio ukweli. Nyie mna bahati Wareno hawakudeclare vita dhidi ya Tanzania kwa maana mngepigwa muwe vumbi.
Ukijibu mjadala uwe na kumbukumbu za historia Frelimo walikuwa stationed in Tz na kuwa sponsored na tz wapiganaji wa Frelimo walikuwa trained na kuweka kambi Tanzania pia Tanzania ilitoa military hardware katika support ya vita pamoja na intelligence. Hence enough reason kwa Portugal kulaani Tanzania in collaboration with Boers who used Malawi and Mozambique to perpetrate their clandestine operations against Tanzania.
 
Back
Top Bottom