Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
tatizo linatakiwa litatuliwe na sio kiushi naloKiongozi tuwe realistic duniani kote vitu vimepanda bei baada ya demand kuongezeka post covid we expected things to normalise soon after but the Ukrainian war imeharibu Europe is reeling on hyper inflation as we speak sembuse sisi.
Unaandika kwa kujisifu huku umejikunyata hapo kibra; unadhani sikuoni?nairobi still ranks higher than dar with cities with highest concentration of highrise buildings in africa (excluding cairo)
1. jorburg 12skyscrapers+296highrises
2.lagos 1skyscraper+144highrises
3.nairobi 3skyscrapers+124highrises
4.dar 3skyscrapers+98highrises
5.addis... ??

Kiongozi tuwe realistic duniani kote vitu vimepanda bei baada ya demand kuongezeka post covid we expected things to normalise soon after but the Ukrainian war imeharibu Europe is reeling on hyper inflation as we speak sembuse sisi.
Unadhani hawajui.. ni swala la mapenzi tu
Ukaguzi gani wa gari unaochukua muda mrefu? Kufanya emission/smog test ni dakika chache tuu na Vin number check nayo ni sekude tuu unapata jibu. Kuna watu huwa tunapenda kuwa na collection ya magari fulani ya zamani, sasa kuzuia kuingiza huoni hapo unatubagua watu wenye hobby zetu?Hivi sasa kuna magari yaliyopita miaka inayoruhusiwa kuingia nchini yanaingia na inakuwa ngumu kwa vile ukaguzi unafanyika nchini na si yanapotoka! Na yanasababisha mlundikano bandarini!
Tuliwahi kuletewa bia za stella artois, watu walizibugua kama hawana akili nzuri, kumbe zilikuwa expired.According to bibi hakuna haja ya kukagua magari wakati hatutengenezi sisi, sasa ilo shirika la tbs wanini asilifute ukaguzi wote ufanyike hukohuko sababu hatuna haja ya kukagua tusivyo tengeneza?
Tanzania si dampo la magari kuukuu! nenda Nigeria na Ghana uone madhara ya magari kuukuu!Ukaguzi gani wa gari unaochukua muda mrefu? Kufanya emission/smog test ni dakika chache tuu na Vin number check nayo ni sekude tuu unapata jibu. Kuna watu huwa tunapenda kuwa na collection ya magari fulani ya zamani, sasa kuzuia kuingiza huoni hapo unatubagua watu wenye hobby zetu?
Tuliwahi kuletewa bia za stella artois, watu walizibugua kama hawana akili nzuri, kumbe zilikuwa expired.
Nenda kamwambie Jay Leno kuwa garage collection yake inamagari makuukuu uone atakavyo kutoa mkuku.Tanzania si dampo la magari kuukuu! nenda Nigeria na Ghana uone madhara ya magari kuukuu!
wacha upumbavu wa kujilinganisha na Jay Leno! Yale ni ya zamani si machakavu!Nenda kamwambie Jay Leno kuwa garage collection yake inamagari makuukuu uone atakavyo kutoa mkuku.
Acha kukurupuka, ulinisoma vizuri niliposema, "Kuna watu huwa tunapenda kuwa na collection ya magari fulani ya zamani"?wacha upumbavu wa kujilinganisha na Jay Leno! Yale ni ya zamani si machakavu!
Na pia Kaburu alikuwa anafika mpska mozambique na malawi lakini tuliwadhibiti woteWacha kutafuta visingizio, Magaidi wa Mozambique wanapigwa na nchi zaidi ya 5 ikiwemo South Africa, Rwanda, Zimbabwe na Msumbiji, bado hawajatokomezwa.
Kumbuka Tanzania tulipakana na utawala wa Wareno, wenye nguvu kubwa za kijeshi, TPDF walikua wakipambana nao Uso kwa Uso kwa zaidi ya miaka 10, hatimae tuliibuka washindi, kwa kipindi chote hicho cha mapigano, bado Tanzania iliendelea kubaki salama kutokana na uimara wa Jeshi letu