Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
hata kwenye ICT hatupo nyuma hivyo the thing ni policies za mwendazake hazikuwa nzuri kwenye ku-attract hi tech investments! Kama suala la data centers Tanzania inapaswa kuwa mbele kwenye hili ukizingatia the ICT infrastructure iliyopo hamna nchi ina km nyingi za Mkongo EA kama Tanzania! Hata Data centers tunazo kama kumi hivi ukijumlisha na hii ya juzi ya RAXIO! special efforts hapa kwenye ku-attract vitu kama startups na clients wanaohitaji utunzaji wa data zinahitajika maana infrastructure yetu NICTBB inaendelea kuwa redundant!FDI kubwa inayokuja Tz ni ku invest kwenye
1.Madini
2. Gas
3.Viwanda/Industrial parks
4.Tourism maybe ndo inakuja nne na hii siyo kubwa sana
5.Agriculture
kutokana na hayo ..Madini , Gas na Viwanda huwa office ziko huko mining centres na viwandani...
Tourism ndo utaona hotels
Ila FDI ya Kenya i can call it sophisticated FDI ..
wao wana invest kwenye ambazo ni high skilled sectors
1.Finanicial
2. Technology
3.ICT
4 .Agriculture
5.Assembly plants
kutokana na hayo utaona kuwa office space ni kubwa sana na demand za appartments na data centres inakuwa kubwa hapo utaona company zina weka office sasa...ilie ku serve most of EA countries ..
Ila cha maana kwenye Fdi ni kuangalia Ajira ngap zitazalishwa na je zitahusisha watu wenye kipato cha hali gani...we it alleviate poverty ..



. ata tundulisu kahamia exile majuu kwasababu ya kuhofia mambo kama haya.. hehe
. hivi tanganyika si afadhali