Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu uwanja unaotumia kati ya Kongo na Morroco, ni wa wapi?

Pitch iko vizuri sana Taifa tunafeli wapi, yaani taifa hata misitari mieupe haionekani vizuri.

We can do, even kuweka adboard mbona azam kaweza.
 
That bulldozer is irrelevant to the point I'm trying to prove. Si mnasema you can access all parts of Tanzania via tarmacked roads? Where do you see tarmac on that photo?
Alafu hii nchi kubwa kuliko utopolo lenu kenya ......sisi tusambaza maendeleo kila mahali........
 
That bulldozer is irrelevant to the point I'm trying to prove. Si mnasema you can access all parts of Tanzania via tarmacked roads? Where do you see tarmac on that photo?
Ndio tuna access kila kona ya tz .kunguni wewe ....
JamiiForums-144819442_512x387.jpg
.....Huoni hilo basi na road inajengwa na ziko nyingi tu....sisi hatunaga show off .....tunafanya mambo yetu kimya kimya ....kiazi wewe...
 
vita vimewashinda sasa wanaingia kwenye uchawi Tony254
Wapuuzi hao wangekuwa wachawi wangemzuia mwamba PUT IN asiwaharasi toka kabla ya vita .........yaani nchi ishavurugwa na mabom cha chini kikaja juu na chajuu kika ingia chini afu afu hao washamba wanakuja na ...ujinga ujinga sijui eti tumroge MWAMBA PUT IN ....KUNGUNI HAWA
 
Turbi - Moyale road in Moyale County, northern Kenya View attachment 2164000

Isiolo - Marsabit road, Marsabit County in northern Kenya View attachment 2164004

More roads in northern Kenya
View attachment 2164007View attachment 2164009View attachment 2164008

Sorry,,,, I forgot to mention that Moyale, Marsabit and Isiolo are all in Nairobi!
Kwamba road kama hizo tz hakuna ati bwana ojuwang ........afu kumbuka TZ ni kubwa mara mbili ya utopolo kunyaland .....so usilinganishe blah blahh ....sijui ujinga wa kibera na The giant TZ....
 
Kenya is the biggest exporter in East Africa. Shida yako huwa unaongea bila evidence.

This is Kenya exporting $1.4B to East African countries while Tz export is at $811M

View attachment 2164010

View attachment 2164012
Wewe ni kichaa, onyesha tarehe na mwaka wa hiyo article na ulinganishe na hii Tanzania overtakes Kenya as Uganda’s largest imports source in EAC
Tumia akili kidogo, Kama Kati ya Tanzania na Kenya, Tanzania ndiyo inayouza bidhaa nyingi kuliko Kenya, Tanzania inauza bidhaa nyingi Uganda kuizidi Kenya, iweje Kenya izidi Tanzania katika total exports?, taja no nchi gani hapa East Africa ambayo Kenya inauza bidhaa nyingi kuizidi Tanzania
dyfre
 
Kwamba road kama hizo tz hakuna ati bwana ojuwang ........afu kumbuka TZ ni kubwa mara mbili ya utopolo kunyaland .....so usilinganishe blah blahh ....sijui ujinga wa kibera na The giant TZ....
Si ni wewe ulisema Kenya hakuna maendeleo kama hizo nje ya Nairobi? Sasa mbona unatoa uharo ewe kilaza? Na hapo nimekuonyesha tu baadhi ya sehemu za northern Kenya ambapo sisiemu imewaaminisha hakuna barabara
 
Wewe ni kichaa, onyesha tarehe na mwaka wa hiyo article na ulinganishe na hii Tanzania overtakes Kenya as Uganda’s largest imports source in EAC
Tumia akili kidogo, Kama Kati ya Tanzania na Kenya, Tanzania ndiyo inayouza bidhaa nyingi kuliko Kenya, Tanzania inauza bidhaa nyingi Uganda kuizidi Kenya, iweje Kenya izidi Tanzania katika total exports?, taja no nchi gani hapa East Africa ambayo Kenya inauza bidhaa nyingi kuizidi Tanzania
dyfre
Wewe hakuna kitu unajua, kazi ni kupiga tu kelele hapa.

Screenshot_20220325-151355.png


Screenshot_20220325-151953.png
 
Wewe ni kichaa, onyesha tarehe na mwaka wa hiyo article na ulinganishe na hii Tanzania overtakes Kenya as Uganda’s largest imports source in EAC
Tumia akili kidogo, Kama Kati ya Tanzania na Kenya, Tanzania ndiyo inayouza bidhaa nyingi kuliko Kenya, Tanzania inauza bidhaa nyingi Uganda kuizidi Kenya, iweje Kenya izidi Tanzania katika total exports?, taja no nchi gani hapa East Africa ambayo Kenya inauza bidhaa nyingi kuizidi Tanzania
dyfre
Utaendelea kulia lakini ukweli utabaki tu pale pale.


Screenshot_20220325-195331.png


Screenshot_20220325-151953.png
 
Prove if this is Lodwar.
Umeshangaa na kupagawa eti? 😂 😂 😂 Yani huamini macho yako kwamba hapo ni Lodwar ambapo mumeanishwa hakuna maendeleo kama hizo. Hivi, hujaona hata neno 'Lodwar' limeandikwa ndani ya hizo picha za barabara? Ama ndio kujifanya kipofu?

Kama hujaamini hizo natumai utaamini hizi angalau. Ndio hii hiyo barabara ya Lodwar ikikatiza ndani ya Lodwar town.
FL2ocqrX0AE6wCR.jpeg
FL2odQBWYAABUOa.jpeg
FL2odnpWYB0VjTu.jpeg

Yani Lodwar inang'aa usiku kushinda Dar na bad mko hapa na kelele zenu za vijiweni
 
Back
Top Bottom