Ndio nayaona leo hapa forum.Hivi wadau Geza Ulole ichoboy01 mnajua ni kwa nini mafuta hii ya Arimis inapendwa sana huku Kenya?
Na huko Tanzania mnatumia mafuta hii?
Watanzania wachache tu ndio wataelewa.
Ndio nayaona leo hapa forum.Hivi wadau Geza Ulole ichoboy01 mnajua ni kwa nini mafuta hii ya Arimis inapendwa sana huku Kenya?
Na huko Tanzania mnatumia mafuta hii?
Watanzania wachache tu ndio wataelewa.
Hampendi investments toka Tanzania huo ndio ukweli mchungu mnaogopa doninance ya Tanzanian products on your market.Nyie Watanzania masikini wa Mungu mumewekeza pesa ngapi Kenya?
Mafuta ya kukamlia ng'ombe hayoNdio nayaona leo hapa forum.
😛
QS haya mambo huyawezi, bora ukae kimya.
Maana umeanza kuongea kitu usichokijua.
Endelea kuamini hivyo hivyo kwamba ki unit in a block of flats is more valuable than the isolated bungalow in a spacious plot.
Hivi hamna mtanzania native mmoja tajiri mnaweza jivunia kila saa Waarabu na Wahindi tu.Hampendi investments toka Tanzania huo ndio ukweli mchungu mnaogopa doninance ya Tanzanian products on your market.
View attachment 2163606
Ukabila tulikuachieni nyie msiokuwa na elimu, sisi huku hata baba ako na mamaako wakitokea Kunyaland lkn ukazaliwa Tz we count you as a Tanzanian, kumbuka kuna mtu anaitwa Mungai tulimpa mpk uwaziri lkn asili yake ni Kenya, na huyu Mungai ndiye aliyehusika na kuiyumbisha elimu yetu.Hivi hamna mtanzania native mmoja tajiri mnaweza jivunia kila saa Waarabu na Wahindi tu.
russia anapigana na america, uk, ukraine , france , canada ,greece , germany, japan,etc 😂😂😂😂
Hayo mafuta ni mazuri sana kwa kukamua ng'ombe na wanaume wanayapenda sana.Ndio nayaona leo hapa forum.
halafu "wanakunjanga" hapa proudly wakidai wao ni top cement consumers! Haki mi naona nyumba ya tope ikipandisha floors!Kunyan engineer at workView attachment 2163693
Hahahaha, Kenya kwa ubaguzi na ukabila, mnaongoza Afrika nzimaHivi hamna mtanzania native mmoja tajiri mnaweza jivunia kila saa Waarabu na Wahindi tu.