Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20220325-200458.jpg
 
Wewe hakuna kitu unajua, kazi ni kupiga tu kelele hapa.

View attachment 2164271

View attachment 2164272
Hahahaha, umeficha tarehe ya hiyo article ya juu sio?, Kenya haiwezi kupambana na Tanzania, tumewazidi katika kila kitu
 
Utaendelea kulia lakini ukweli utabaki tu pale pale.


View attachment 2164282

View attachment 2164283
Hahahaha, Kenya hamuwezi kushindana na Tanzania labda kwenye ukabila na njaa
 
Hahahaha, umeficha tarehe ya hiyo article ya juu sio?, Kenya haiwezi kupambana na Tanzania, tumewazidi katika kila kitu
Tarehe gani imefichwa? Ama unajifanya kipofu juu your lies had been exposed?😂😂😂👇👇👇

Screenshot_20220325-195331.png


Screenshot_20220325-151953.png
 
Umeshangaa na kupagawa eti? 😂 😂 😂 Yani huamini macho yako kwamba hapo ni Lodwar ambapo mumeanishwa hakuna maendeleo kama hizo. Hivi, hujaona hata neno 'Lodwar' limeandikwa ndani ya hizo picha za barabara? Ama ndio kujifanya kipofu?

Kama hujaamini hizo natumai utaamini hizi angalau. Ndio hii hiyo barabara ya Lodwar ikikatiza ndani ya Lodwar town.
View attachment 2164289View attachment 2164290View attachment 2164291
Yani Lodwar inang'aa usiku kushinda Dar na bad mko hapa na kelele zenu za vijiweni
Waambie Turkana has an ICT school, something which I doubt if is even available outside Dar if not the whole Tanzania.

20220325_191047.png
 
This road starts in Kitale and ends in Lokichogio and was completed last year. Shida yako iko wapi bongolala even if it was completed this morning?
Nataka uoneshe maala watu wanaishi na co road pekee kwani watu wa Lodwar na Northern Kenya wanaishi barabarani?
 
Back
Top Bottom