Hata muweke filter aje, hizo dreamhouses zenu tunajua vile ziko, alafu hakuna tarmac roads ní vumbi tuukiwaambia zoom hakuna slum wanalia 😂😂😂😂👇👇👇👇
View attachment 2162194
sasa umepanic huoni paved roads hzo 🤣🤣 au nazo filter huoni nyumba za gorofa humo au pia ni makeup au mumezoa kua nairobi kuna slum basi dunia nzima inayoHata muweke filter aje, hizo dreamhouses zenu tunajua vile ziko, alafu hakuna tarmac roads ní vumbi tu
ogopa sana ,unapotumia lugha yako ya taifa kwenye music na ukapata nafasi ya kusikilizwa na kuheshimika kwenye industry,,tuna tone yetu mambo mengine yatafuata,tatizo la wasanii wa bongo wengi hawapendani wanaishi kimatabaka tofauti na wenzetu nigeria wanapeana sana supportWatanzania huwa mnajifanya kwamba mna wanamuziki wakali kumbe wapi. Huyu hapa ni Davodo kajaza ile 02 Arena ya London hadi pomoni.
sasa umepanic huoni paved roads hzo 🤣🤣 au nazo filter huoni nyumba za gorofa humo au pia ni makeup au mumezoa kua nairobi kuna slum basi dunia nzima inayo
Ukizoom pako hiviThis is how dar looks like, grow some balls and get it over with... And regardless if there are slums in Nairobi or not, has nothing to do with the situation down there..
And hey, do i really have to crop it for you to see?View attachment 2162310
View attachment 2162309
Pesa itayotumika kujenga modern electric railways kutoka Tanzania kwenda Burundi, DRC na Rwanda kwa pamoja ni kidogo compared na pesa iliotumika kujenga medieval mtambo wa komoni kutoka Mombasa to Nairobi!View attachment 2162298
![]()
AfDB secures over $15.6b for Lagos-Abidjan highway
President of the African Development Bank (AfDB) Group, Dr. Akinwumi Adesina, yesterday, announced that the bank has secured $42 billioneditor.guardian.ng
Kenya Wana roho mbaya Sana, ukiwazidi kibiashara lazima wataanzisha fujo, wamezuia maziwa ya Loto, sukari, na mayai toka Uganda kwa sababu hizohizoMtanzania akiona bidhaa ya Kenya kwenye shelves za Tanzania, no issue
Mkenya akiona bidhaa za Tanzania kwenye shelves za Kenya, big issue
Halafu Wakunya wote humu ndani wanapiga mayowe kwamba Watanzania tunawawaza?
Mkunya mmoja aniletee scenario like this from a Tanzanian
Eti tunawaonea wivu, yupi sasa hapa anamuonea wivu mwenzake?
View attachment 2162315
kweli yaonekana huyu jamaa anataka msambwanda kwa buku jero.. .. 😆😆
Mtanzania akiona bidhaa ya Kenya kwenye shelves za Tanzania, no issue
Mkenya akiona bidhaa za Tanzania kwenye shelves za Kenya, big issue
Halafu Wakunya wote humu ndani wanapiga mayowe kwamba Watanzania tunawawaza?
Mkunya mmoja aniletee scenario like this from a Tanzanian
Eti tunawaonea wivu, yupi sasa hapa anamuonea wivu mwenzake?
View attachment 2162315
Taja bidhaa 5 ambazo Kenya inauzia Tanzania, hizi hapa bidhaa za Tanzania tunauza Kenyasababu bidhaa za kibongo ni finyu ukizilinganisha na za kenyaland
sababu bidhaa za kibongo ni finyu ukizilinganisha na za kenyaland
Sio suala la wingi wala uchache wa bidhaa na hata hivyo bado Tanzania inauza bidhaa nyingi na za thamani kubwa Kenya kuliko Kenya kwa Tanzaniasababu bidhaa za kibongo ni finyu ukizilinganisha na za kenyaland
Sio suala la wingi wala uchache wa bidhaa na hata hivyo bado Tanzania inauza bidhaa nyingi na za thamani kubwa Kenya kuliko Kenya kwa Tanzania
Issue hapa ni namna wakenya huonesha chuki na kwanini wanapoona bidhaa kutoka Tanzania inatumika Kenya
Hii sio case ya kwanza Wakunya kuraise lame nationalistic debate kwanini bidhaa za Tanzania zitumike kunyaland,
Nakumbuka hata kwenye uzinduzi wa SGR yenu kulikua na tiff debate kwanini t-shirt za uzinduzi zimetoka Tanzania
Nakuuliza sasa wewe kinara wa kudai Watanzania tunaiwaza kunyaland, hapa ni yupi mwenye chuki na wivu baina ya Tanzania na kunyaland?
wakenya ni wapuuzi sana inapotokea masuala ya kiushindani wa bidhaa kimasoko na Tz wakenya huwa ni waoga sana,,Mtanzania akiona bidhaa ya Kenya kwenye shelves za Tanzania, no issue
Mkenya akiona bidhaa za Tanzania kwenye shelves za Kenya, big issue
Halafu Wakunya wote humu ndani wanapiga mayowe kwamba Watanzania tunawawaza?
Mkunya mmoja aniletee scenario like this from a Tanzanian
Eti tunawaonea wivu, yupi sasa hapa anamuonea wivu mwenzake?
View attachment 2162315
Wameanza kuzoea mana hakuna namna wanaweza kuepuka bidhaa za Tz cz ni cheap na zenye quality kuliko bidhaa zao low quality na zinazouzwa at exorbitant price. Unajua ktk biashara ukitaka ku win basi uza cheap ukizingatia unaowauzia population kubwa ni maskini kama Wakenya wengi.Kenya Wana roho mbaya Sana, ukiwazidi kibiashara lazima wataanzisha fujo, wamezuia maziwa ya Loto, sukari, na mayai toka Uganda kwa sababu hizohizo
Halafu roho mbaya zao wanapakazia wengine, wapo inferior sana, wao ni vinara kusema Watanzania tuna chuki na wivu na wao lakini baada ya second 1 wanapost namna companies zao zilivyoshika uchumi wa Tanzania (laughable) huku kukiwa hakuna companies zozote za Tanzania kunyalandKenya Wana roho mbaya Sana, ukiwazidi kibiashara lazima wataanzisha fujo, wamezuia maziwa ya Loto, sukari, na mayai toka Uganda kwa sababu hizohizo
Umaskini unaotisha wa wakunya unafanya wawe watu wenye roho mbaya wakidhani umaskini wao unasababishwa na wageni kumbe ni elimu yao mbovu inayotengeneza viongozi waroho na wasio na uzalendo kwa nchi yao.wakenya ni wapuuzi sana inapotokea masuala ya kiushindani wa bidhaa kimasoko na Tz wakenya huwa ni waoga sana,,
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app