Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zile ni medioa zao na ziko busy naambo yao,nyie huku Africa nani kakukataza kutumia media za Africa ku address issues za Africa?

Mpigane nyie afu wazungu ndio wawahangaikie? Muulizaji hapo kauliza vizuri nini msimamo wa AU?

Sasa kwa hili unamlaumu mzungu kwa lipi?
Na mbona we mwafrika mdanganyika unahangaika na Ukraine basi? Kwa nini UN wanalazimisha nchi za Afrika kuvote in favour ya NATO, wacha Ukraine na Russia wamalizane sababu haituhusu sisi waafrika
 
Ukraine inageuzwa kua failed state kama middle east countries. Hii kama sio terrorism sijui tutaiita aje. Vita ni kitu mbaya sana.
 
Ajali ya ndege

Screenshot_20220321-115918.png
 
Truth ipi hiyo? Unafiki
Truth ni kwamba Ukraine watapigwa na Russia. Vizuri wangetumia diplomacy kama vile Russia walikua wamesema. Wakue Neutral country kama Switzerland, Finland, Sweden etc na wasign agreement. Wangefanya ivo Russia hawange attack. But Zelenshky ni Zionist anataka tu vita
Nao marekamni wanafurahia kuwauzia vifaa.
 
Truth ni kwamba Ukraine watapigwa na Russia. Vizuri wangetumia diplomacy kama vile Russia walikua wamesema. Wakue Neutral country kama Switzerland, Finland, Sweden etc na wasign agreement. Wangefanya ivo Russia hawange attack. But Zelenshky ni Zionist anataka tu vita
Nao marekamni wanafurahia kuwauzia vifaa.
Hilo la kupigwa unaongea wewe ila Kazi inayofanyika huko battleground ni hii hapa 👇

Screenshot_20220321-113946.png
 
Back
Top Bottom