Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii vita ya Ukraine imenifunza jinsi western media ni hypocrites. Ethiopia na Mozambique kumekua na vita kali tangu 2020, maelfu ya watu wameaga dunia lakini taarifa hizi haziko kwa international media yeyote ata social media ni report moja mbili alafu kimya.
Kwa sasa, western media wanataka tusimamishe dunia tuomboleze na tuongeze bei ya bidhaa kama mafuta sababu mzungu kutoka Europe Ukraine anauliwa na mrussia. I call it bullshit
All lives matter
Screenshot_20220320-224528.jpg
 
swali langu hiyo SGR extension ni kupitia Burundi au bado ile SGR Isaka-Keza-Kigali? Kama ni kupitia Burundi basi ile chance kuungana na Uganda SGR kupitia Isaka na Kagera itakuwa imepotea!
Leo unawaza sgr kwenda uganda kupitia Kagera, kuna siku nilitoa hili wazo kwamba ikijengwa isaka Kigali mganda anaweza kuvutika sgr yake aiunge Tz, ulinishambulia utadhani nimekuchukulia mke 😂😂
Ukasema reli maji reli ndio inawafaa waganda
 
Yes Marekani na nchi za magharibi ni hypocrites! Wanatumia jina la democracy kufanya uovu mwingi sana. Wamefanya uharibifu mkubwa sana duniani. Lakini nyinyi watanzania kusema kuwa mnasupport Russia ni double standards pia. Kwani kitu kinachofanywa na Russia ni tofauti na uharibifu uliofanywa na western countries? Hakuna nchi yoyote Huru inayostahili kuwa occupied! Nyerere amesimama na hii falsafa katika uongozi wake na Ndio Maana Tanzania ilijikita sana na uhuru wa nchi za Afrika.
Ndio maana sisi watanzania hatujafungamana na upande wowote
 
Hii vita ya Ukraine imenifunza jinsi western media ni hypocrites. Ethiopia na Mozambique kumekua na vita kali tangu 2020, maelfu ya watu wameaga dunia lakini taarifa hizi haziko kwa international media yeyote ata social media ni report moja mbili alafu kimya.
Kwa sasa, western media wanataka tusimamishe dunia tuomboleze na tuongeze bei ya bidhaa kama mafuta sababu mzungu kutoka Europe Ukraine anauliwa na mrussia. I call it bullshit
All lives matterView attachment 2158578
Naona umezinduka wazindue na wakenya wenzako
 
Ila Rais wa DRC asijifananishe na wa Tanzania, juzi amekoswakoswa kupinduliwa! Kiufupi hakuna defence systems nzuri chini ya FARDC ndo maana MONUSCO na UPDF wapo eastern DRC! anytime kule meza inapinduka!

Kwa hiyo asisimamie maamuzi mazuri kwa kuogopa kupinduliwa?
 

Geza kama umemsikiliza huyo waziri wa uchukuzi vizuri ungesikia akisema kwamba asilimia mbili tu ya mizigo ya Uganda ndio inapitia bandari ya Dar es Salaam. Sasa sijui joto la jiwe alikuwa anapinga nini kwenye ule uzi wangu. Hii 2% ilisemwa pia na Mkurugenzi wa TRC bwana Masanja. Sasa huyu ni mtu wa pili wq serikali yenu kuconfirm. Huyu ni waziri wa uchukuzi, ni mtu mkubwa sana hawezi kudanganya.
 
Hawa Watanzania wa huku nimeona 98% wanasupport Russia hata wakiuwa watoto wadogo. Hawana utu kabisa.

Huyu mama mja mzito ambaye maternity aliyekuwemo ndani ilipigwa bomb na Russia huko Mariupol, mtoto wake alizaliwa akiwa ameshaaga dunia. Mama mwenyewe baada ya siku mbili pia aliaga dunia kwa sababu ya majeraha mabaya aliyopata. Halafu humu ndani majority ya Watanzania wanasherehekea na kufurahia madhambi ambayo Russia inawafanyia watu wa Ukraine.

Anko kwani watoto wa middle east ni nyani???
 
Hii vita ya Ukraine imenifunza jinsi western media ni hypocrites. Ethiopia na Mozambique kumekua na vita kali tangu 2020, maelfu ya watu wameaga dunia lakini taarifa hizi haziko kwa international media yeyote ata social media ni report moja mbili alafu kimya.
Kwa sasa, western media wanataka tusimamishe dunia tuomboleze na tuongeze bei ya bidhaa kama mafuta sababu mzungu kutoka Europe Ukraine anauliwa na mrussia. I call it bullshit
All lives matterView attachment 2158578
Halafu Ethiopia ni jirani zenu wakunya lakini mnaona Ukraine ndio wanateseka na mnatoa mishipa kupiga kelele
 
Geza kama umemsikiliza huyo waziri wa uchukuzi vizuri ungesikia akisema kwamba asilimia mbili tu ya mizigo ya Uganda ndio inapitia bandari ya Dar es Salaam. Sasa sijui joto la jiwe alikuwa anapinga nini kwenye ule uzi wangu. Hii 2% ilisemwa pia na Mkurugenzi wa TRC bwana Masanja. Sasa huyu ni mtu wa pili wq serikali yenu kuconfirm. Huyu ni waziri wa uchukuzi, ni mtu mkubwa sana hawezi kudanganya.
Haya mzee kuna makubaliano na Uganda yamesainiwa pia!
 
Back
Top Bottom