Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Hii ni Ukraine inaharibiwa kila Siku. Sio Russia au USA. Ukraine na raia wake ndio wanaenda hasara.Hilo la kupigwa unaongea wewe ila Kazi inayofanyika huko battleground ni hii hapa
View attachment 2159107
