Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Marekani pia wanafurahia pipeline za NORD gas ambazo moja inapitia Ukraine kuzimwa ili Europe ikue energy dependent kwa America and it allies. America hawapendi energy dependence ya Europe ikiwa Russia. Vita ya Syria pia ilikua kuhusu gas. Qatar na hizi Arab countries wanataka pipeline itakayotoka huko ipitie Syria hadi turkey ndio EU wasikue dependant kwa gas ya Russia. Nao Russia kujua game wakasuppport Assad sasa pipeline ikazimwa ivo. Kuona pipeline imezimwa, USA wakaanza kainchi kanajiita Kurdistan ambako ndio wanaplan kupitishia pipeline after Syria kufail.

Fahari wawili wakipigana nyasi huumia na yasi kwa hii vita ni Ukraine. Fahari wawili ni USA na Russia.
 
Hii ni Ukraine inaharibiwa kila Siku. Sio Russia au USA. Ukraine na raia wake ndio wanaenda hasara.
Hasara ni Kawaida kwenye vita ndio maana tunamlaani Putin na kumlia timing 👇

Screenshot_20220321-115427.png
 
Truth ni kwamba Ukraine watapigwa na Russia. Vizuri wangetumia diplomacy kama vile Russia walikua wamesema. Wakue Neutral country kama Switzerland, Finland, Sweden etc na wasign agreement. Wangefanya ivo Russia hawange attack. But Zelenshky ni Zionist anataka tu vita
Nao marekamni wanafurahia kuwauzia vifaa.
Stop being stupid.. Ukraine is a sovereign country, not a colony of Russia.it has the right to decide which direction to take
 
Mimi kama naeza kupiga nipate kenye nataka na hakuna MTU atakaye niuliza, ntakutwanga tu hadi nipate nachotaka. We kama ni mjinga upigane na Mimi na unajua vizuri sana nitakupiga ole wako.
Hii ndio kesi ya Ukraine na Russia.
 
Hasara ni Kawaida kwenye vita ndio maana tunamlaani Putin na kumlia timing

View attachment 2159117
Russia wanaachieve objectives zao, USA wanachieve objectives zao. Ukraine raia wanakufa daily. Raia wa Russia na US hata wengine hawajui kuna vita majeshi ya nchi zao yanashiriki. Wanaonea kwa TV wakiendelea na maisha yao kama kawaida.
 
Hawana cha kuonyesha zaidi ya expressway ya mchina
Na ndio maana Nairobi slums zimesheheni sababu mkenya akizaliwa County yoyote nje ya nairobi automatically Anafikiri sehemu pekee ya kutoboa ni Nairobi na nairobi ndio penye ahueni ya maisha

Tofauti na Tanzania, popote mtu anatoboa na fursa za kutoboa zipo mikoani hata zaidi ya Dar ndio maana Tanzania maendeleo ni nchi nzima huku kunyaland kila kitu Nairobi
 
Back
Top Bottom