Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Government city in the making.
tarura_tanzania_1647784130251288.jpg
 
Sio kutapatapa ndio ukweli.Sio tuu Turkey bali na Hawa hapa 👇

View attachment 2157747
mm hua nashangaa ww unawashwa na nn nani amekutag ww mpaka unijibu? au ww ni mke wa Tony254 ?? nilikwambia hvi sitaki unitag wala kuni quote mm huo mchezo unaoutaka mm kwangu mwiko tafuta tu wanaume wako wengi wanaeza kukupa huduma stahiki
 
Wewe akili yako haifanyi kazi vizuri. Eti unamlaumu Zelensky kwa mauwaji ya huyo msichana wa miaka miwili ilhali mauwaji yenyewe yamefanywa na Russia? Wewe na ichoboy01 mna matatizo ya akili sio bure.
tatizo lako ww maovu makubwa ya nato huyoni na tatizo kubwa sisi wanaadamu ni wasahaulifu sana 😂😂😂
 
mm hua nashangaa ww unawashwa na nn nani amekutag ww mpaka unijibu? au ww ni mke wa Tony254 ?? nilikwambia hvi sitaki unitag wala kuni quote mm huo mchezo unaoutaka mm kwangu mwiko tafuta tu wanaume wako wengi wanaeza kukupa huduma stahiki
Acha kulia Lia wewe,kapime tezi dume hakuna kidole tena👇

Screenshot_20220319-072207.png
 
Hata sector kama ya kilimo , mainly inafanyika outside Dar
Arusha Kilimanjaro ndio leading tourist destinations in Tz sasa contribution ya tourism kwa GDP ni kiasi gani halafu jumlisha na contribution ya mining in the lake zone na agriculture country-wide hizi sectors zote kwa kiasi kikubwa haziko Dar na ndio zinazoshika sehemu kubwa ya uchumi wetu.
Apo ndio utajua Tz bado tunavizuu
 
Hata hamtaki kujifunza historia ili kujua uhalisia.2014 Russia aliingia Ukraine Zelensiky hakua Rais wakati huo.Hata asingekua Zelensiky bado Russia angeivamia kwa anachotaka ni hizi kukidhi anachotaka na anahangaika kuzilock kiuchumi ili zimsikilize yeye kwenye njia za uchumi na security Msichojua Russia Hana uhusiano mzuri na Finland,Norway na Georgia in South.Tazama hata nchi nyingine ziliundaSoviet hazina uhusiano mzuri na Russia.Ukorofi wa Russia ni kawaida yao tazama wakati wa Stalin ilikua kero tu.
Zelenshky ni kiongozi mjinga sana, anatumiwa na Zionist ndio NATO waingie Ukraine waneutralize Russia in preparation of the New World Order ambako kutakua na serikali moja dunia nzima under USA. Labda ni ujana inamsumbua. Badala ya diplomacy yeye alimua kwenda vitani. Sasa wakati amelemewa na vita ndio anaona waongee na Putin when its too late. Ukraine has already been destroyed and it'll take decades to be restored.
 
mm hua nashangaa ww unawashwa na nn nani amekutag ww mpaka unijibu? au ww ni mke wa Tony254 ?? nilikwambia hvi sitaki unitag wala kuni quote mm huo mchezo unaoutaka mm kwangu mwiko tafuta tu wanaume wako wengi wanaeza kukupa huduma stahiki
Huyo ni Mpumbavu mmoja Asiye Jitambua Yaani Linaboa sana Kichwani Ni ZERO
 
Hata hamtaki kujifunza historia ili kujua uhalisia.2014 Russia aliingia Ukraine Zelensiky hakua Rais wakati huo.Hata asingekua Zelensiky bado Russia angeivamia kwa anachotaka ni hizi kukidhi anachotaka na anahangaika kuzilock kiuchumi ili zimsikilize yeye kwenye njia za uchumi na security Msichojua Russia Hana uhusiano mzuri na Finland,Norway na Georgia in South.Tazama hata nchi nyingine ziliundaSoviet hazina uhusiano mzuri na Russia.Ukorofi wa Russia ni kawaida yao tazama wakati wa Stalin ilikua kero tu.
Hawa Watanzania wa huku nimeona 98% wanasupport Russia hata wakiuwa watoto wadogo. Hawana utu kabisa.

Huyu mama mja mzito ambaye maternity aliyekuwemo ndani ilipigwa bomb na Russia huko Mariupol, mtoto wake alizaliwa akiwa ameshaaga dunia. Mama mwenyewe baada ya siku mbili pia aliaga dunia kwa sababu ya majeraha mabaya aliyopata. Halafu humu ndani majority ya Watanzania wanasherehekea na kufurahia madhambi ambayo Russia inawafanyia watu wa Ukraine.

 
tatizo lako ww maovu makubwa ya nato huyoni na tatizo kubwa sisi wanaadamu ni wasahaulifu sana 😂😂😂
Maovu ya Nato nayaona. Ya Russia pia nayaona. Wewe huoni maovu ya Russia, unaona ya Nato tu.
 
Back
Top Bottom