Ishu ni financing. Kwa ilivyo Sasa Kigali inabidi iweke commitment and seriousness ya hali ya juu maana lengo la reli ni ifike DRC, na ndio imeshafika hivyo via Bujumbura. Sasa kujipinda tena Kwa mkopo ili ifike Kigali to DRC again its not feasible.
Pia Kigali haipo tight kihivyo na DRC kama Bujumbura, same wise their not in good terms with Kampala either. Hivyo unaweza kuona picha inajitengeneza kama hivyo. Hivyo Kigali ina kazi haswa kutengeneza ushawishi ili ifikie na mtandao huo wa SGR. Kuweka pesa nyingi za kukopa ili ufike Kigali maana mkopo itakuwa wa wote TZ na Kigali ni jambo la kusubiri na kuona itakavyo kuwa maana hata huko hakuna biashara kubwa na target ni DRC kupita Bujumbura au Kigali it's okay.. Eyes to DRC.
Sent using
Jamii Forums mobile app