Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni prediction ya ujinga na ushenzi sana. Aliyeunda hii graphics ni mshenzi na mpumbavu wa mwisho ambaye hajawahi kuingia katika any economics class. Sasa Egypt ambayo kwa sasa ina Gdp chini ya $400 billion itakuwaje na Gdp ya $8.2T baada ya miaka minane tu kuanzia sasa? 2030 ni miaka minane tu kutoka sasa. Mjinga sana huyo aliyeandika hio list. ichoboy01 jifunze kuwa na critical thinking sio kupost humu uchafu wowote unaoupata mtandaoni. Hio list inaweza kutengenezwa na chizi yeyote mtandaoni bora ana laptop na internet.
kwani mm ndio niliotengeneza?? sasa kwann unalia 😂😂😂😂
 
sijajua kama kulikuwa representative kutoka Tanzania, lkn AfDB boss mwenyewe anaupenda huu mradi wa reli Tanzania-Burundi-DRC utelezeke.
kwa maelezo yaliyopo mtandaon, Rwanda walirepresent hu mradi wao wa Kigali Innovation City

Basi inakaa kama Kagame kabadili mawazo, nadhani hajapenda Burundi kujiunga na Tanzania atasubiri ajiunge na Uganda! Si neno, tunaanza na walio tayari!
 
Basi inakaa kama Kagame kabadili mawazo, nadhani hajapenda Burundi kujiunga na Tanzania atasubiri ajiunge na Uganda! Si neno, tunaanza na walio tayari!
Hakuna nchi yoyote yenye uwezo wa kujitoa au kususia SGR ya Tanzania kwa hali yoyote Ile, "infact", hata Kenya inafikiria ni jinsi gani ingeweza kuunganisha reli yake na Tanzania, tatizo linaloizuia Kenya kuunganisha ni kutokana na kwamba
1)Reli ya Kenya kwa Sasa inamilikiwa na mchina
2)Reli ya Kenya sio ya umeme, "technologically" ni outdated ukilinganisha na Tanzania, kwahiyo hizi reli mbili sio "compatible".
 
Hakuna nchi yoyote yenye uwezo wa kujitoa au kususia SGR ya Tanzania kwa hali yoyote Ile, "infact", hata Kenya inafikiria ni jinsi gani ingeweza kuunganisha reli yake na Tanzania, tatizo linaloizuia Kenya kuunganisha ni kutokana na kwamba
1)Reli ya Kenya kwa Sasa inamilikiwa na mchina
2)Reli ya Kenya sio ya umeme, "technologically" ni outdated ukilinganisha na Tanzania, kwahiyo hizi reli mbili sio "compatible".
sasa mbona Burundi kaja nyuma yake na kashapata mkopo? Kumbuka pia diesel engines zinapita kweye electric SGR pia kwahiyo Kenya inaweza kujiunga na yetu pia! Tatizo lililopo ni ushindani kati ya kenya na Tanzania kufikia mzigo wa landlocked countries na kuukamata kwanza!
 

Umekua search engine ya Tony254 a.k.a mchumi wa mchongo . Yaani economist hajui hata details za kwao
 
Baada ya Boris Johnson kupewa ngeta na kitasa cha maana


















Saudi Arabia ikaamu ku-look East



Iran kaja Moscow



Assad akakaribishwa UAE



Mchezo mtamu huu mabwana wa Kunyaland wanatafuta pa kujishika
FOCG5oxXMAU6qF_



CC: Tony254
 
sasa mbona Burundi kaja nyuma yake na kashapata mkopo? Kumbuka pia diesel engines zinapita kweye electric SGR pia kwahiyo Kenya inaweza kujiunga na yetu pia! Tatizo lililopo ni ushindani kati ya kenya na Tanzania kufikia mzigo wa landlocked countries na kuukamata kwanza!
Kenya ilishapoteza pambano na TZ Kati hili eneo la SGR, sababu kubwa ya mchina kukataa kutoa pesa kumalizia kipande hadi Malaba, alijua kwamba hakutokua na faida kibiashara kwasababu Uganda ilishakosa pesa ya kuifikisha Kampala.

Kama SGR haiwezi kuunganisha nchi zaidi ya tatu, haiwezi kuwa na faida, Kenya walitegemea Sana Uganda waifikishe Kampala, ili angalao Rwanda wangepata nguvu ya kuunganisha hadi Kigali, au japo DRC, Rwanda, na South Sudan wangeweza kuchukulia mizigo Yao Kampala.

Kitendo cha Uganda kushindwa kupata pesa, na ugomvi Kati ya Rwanda na Uganda, vilipigilia msumari wa mwisho kwa reli ya Kenya kushindana na Tanzania.

Kuhusu reli ya umeme kutumia "diesel engine locomotives", hiyo ni Kama kiwanda kuwa na "standby generator" iwapo umeme utakatika, kumbuka ni ghali Sana kutumia "diesel", hiyo ni miongoni mwa sababu kubwa kwanini hizi nchi zimeamua kuungana na Tanzania na kuachana na Kenya, kumbuka hata Uganda walisema kwamba hata kama wangejenga reli kuunganisha na Kenya, lakini wangejenga ya umeme.
 
China wamepiga hesabu ndefu sana ndio maana wakampa uraisi wa maisha rais wao . Wamefocus kwenye uchumi , wanaviwanda vingi sana . Wako very strategic . Wakafanikiwa kuifanya yuan kua global currency . Biashara itakua imeisha . Inaonesha western wali underestimate Chinese strategic plan . Inabidi wawe makini sana
 
Back
Top Bottom