Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

-1436867857.jpeg
 
Endelea kuota ndoto za alinacha,Kama korosho zilitushinda kulipa tungeingiaje kwenye hii biashara hatari huku ukijua Marekani wanakuchora tu ujichanganye na wewe upigwe cha Moto.Kwa nchi za ulimwengu wa tatu hufuata sanction za US automatically.Kumbuka wakati wa JPM akina kabudi walivyo haha kuipinga meli ya Iran iliyokuwa na mafuta huku ilipeperusha bendera ya Tanzania illegally.Hofu ilikua ni kutomkwaza US
Mzee wa kupeleka Jeshi kununua korosho 😁😁
 
Tatizo wakunya mnapenda sana uwongo, NAIROBI EXPRESS WAY NI MALI YA MCHINA! CRBC was responsible for its design, financing, construction and will also operate the road for about 27 yrs, wakunya mna lenu hapo? endeleeni kutozwa, ndiyo maana tunawaambia mnayo GDP kubwa isiyokuwa na uhalisia wa mkunya. FAILED STATE
Hivi pia ni sawa kusema SGR na TRC ni mali ya waturuki na Americans hadi mtakapomaliza kulipa loan
 
unajua mm nachoshangaa sana ww imejuaje kama hzo ni tank za russia 😂😂 na kwann russia wamefanikiwa kuingia kyiev 🤣
Rob Lee huwa habahatishi. Mimi sources zangu zinaheshimika. Wewe baki hapo ukicheka wakati watu wako wanapigwa kama mbwa. OSINTtechnical pia huwa habahatishi. Hizi ni sources zinazoaminika. Wewe baki hapo ukicheka wakati ndugu zako wanabakwa huko Ukraine.
 
unajua mm nachoshangaa sana ww imejuaje kama hzo ni tank za russia 😂😂 na kwann russia wamefanikiwa kuingia kyiev 🤣
Russia hawajaingia Kiev city. Wapo kwenye outskirts. Wiki tatu zimepita na superpower wako wameshindwa kuingia Kiev.
 
Mambo mengine uwe unaachana nayo mkuu, hayaongezi wala kupunguza kitu.
Sasa tatizo nn hapa? Wana Chato si wanataka kumuenzi JPM na nimetoa suggestion na pia kusema badala ya sanamu wangeomba memorial library ingekuwa more meaningful! Mimi nipo serious kwenye hii suggestion yangu! Serikali kazi yake si kujenga sanamu kwa ajili ya kutimiza nia ya idolization, hiyo ni kazi ya foundations e.t.c.!
 
Back
Top Bottom