Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1647576556244.png
 
TZ mksizeni huyu mwenzenu kaja Nairobi na kuona mambo baada ya BABA levo....


jambo ambalo huyu mwenzetu hajui ni kwamba hiyo ni nairobi express way, mali ya mchina ndani ya kunyaland siyo uhuru wala nyangau yoyote mwenye mamlaka ya kuimiliki labda baada ya miaka 27, maana siyo ya wakunya. hivi wewe unaweza kuweka matangazo yako kwenye nyumba ya jiraniyako bila ruhusa? ndiyo maana toll fee kila mahani, mchina anataka chake, wakunya tokeni gizani!
 
Only kama Magufuli angekuwa alive
Endelea kuota ndoto za alinacha,Kama korosho zilitushinda kulipa tungeingiaje kwenye hii biashara hatari huku ukijua Marekani wanakuchora tu ujichanganye na wewe upigwe cha Moto.Kwa nchi za ulimwengu wa tatu hufuata sanction za US automatically.Kumbuka wakati wa JPM akina kabudi walivyo haha kuipinga meli ya Iran iliyokuwa na mafuta huku ilipeperusha bendera ya Tanzania illegally.Hofu ilikua ni kutomkwaza US
 
heri kidogo unachokimiliki kuliko vingi usivyo vimiliki, wakunya waliowengi nairobi ni kama manamba tu!
Kubali tu mumeshindwa..takwimu zikitolewa mnalalamika waga..wenzenu wakija uku na kurudi kuwa hadithia bado mnalalamika..Hivi na mkiwa na akili kama haya mnaweza endelea kweli?bakini tu hivyo hivyo...
 


Kubali tu mumeshindwa..takwimu zikitolewa mnalalamika waga..wenzenu wakija uku na kurudi kuwa hadithia bado mnalalamika..Hivi na mkiwa na akili kama haya mnaweza endelea kweli?bakini tu hivyo hivyo...
Tatizo wakunya mnapenda sana uwongo, NAIROBI EXPRESS WAY NI MALI YA MCHINA! CRBC was responsible for its design, financing, construction and will also operate the road for about 27 yrs, wakunya mna lenu hapo? endeleeni kutozwa, ndiyo maana tunawaambia mnayo GDP kubwa isiyokuwa na uhalisia wa mkunya. FAILED STATE
 
Endelea kuota ndoto za alinacha,Kama korosho zilitushinda kulipa tungeingiaje kwenye hii biashara hatari huku ukijua Marekani wanakuchora tu ujichanganye na wewe upigwe cha Moto.Kwa nchi za ulimwengu wa tatu hufuata sanction za US automatically.Kumbuka wakati wa JPM akina kabudi walivyo haha kuipinga meli ya Iran iliyokuwa na mafuta huku ilipeperusha bendera ya Tanzania illegally.Hofu ilikua ni kutomkwaza US

A reason I don’t like politics hasa hizi uchwara za upinzani,
Korosho watu walilipwa wote tena on time,
 
Back
Top Bottom