Hapana TB-2 haiwezi kuangusha jet unless hio jet iko kwa ground. Missiles za hio drone are too slow kukimbizana na jet lakini pengine zinaweza kukimbizana na helicopter. Lakini hizo manpads nimeweka hapo juu zinaweza angusha ndege coz missiles za hizo manpads zinamove faster than the speed of sound. Kwa mfano hizo missiles za hii Piorun ya Poland na Stinger ya Marekani zina speed ya mach 2 kwa hivyo zinakimbia mbio kushinda speed ya sound times two. Yaani inakimbia mbio kushinda helicopter zote duniani na jets chache sana zinaweza kukimbia mbio kushinda hio missile
View attachment 2155344
Tazama hii video inayocompare Stinger missile ya Marekani na Piorun ya Poland. Video inaelezea kila kitu.