Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali kazi yake si kujenga sanamu! Waache upuuzi! Sanamu si public facility! Hapana hapa napinga! Kuna njia bora za kumuenzi!
Kama hujui ujue sanamu au majina ya barabara na majengo ni kazi ya mabaraza ya madiwani kwenye halmashauri

Endapo kikao cha madiwani kitaweza kukubaliana kuipa Jina barabara au hata kujenga sanamu kwenye maeneo ya wazi (recreational parks) ya halmashauri inakubalika kabisa na ni utararibu wa kikatiba, hivyo ni sawa wananchi kutaka wafanyiwe wanavyotaka na wamepeleka oni lao mahali sahihi
 
Without food, water, better health care system and shelter, you want to compare with Tanzania?
Do you even have healthcare in Tanzania? Have you ever asked yourself why Tanzanian leaders are flocking Nairobi for treatment?
 
Kenya mnazaana mara mbili zaidi ya Tanzania, kumbuka Tanzania eneo letu ni ×2 ya Kenya, lakini kwa idadi ya watu ni tofauti kidogo Sana Kati ya Tanzania na Kenya.

Sababu ingine ambayo ni tatizo kwa Kenya ni chakula na Natural resources ikiwemo maji ya kutosha, Kenya hamna maji Wala chakula cha kutosha, mnapaswa kupunguza kuzaana hadi muhakikishe kwa maji na chakula vinaendana na idadi ya watu
Hahaha. Kwamba tuwache kupigana pumbu hadi ule wakati tutapata chakula na maji ya kutosha?
😅 🤣
 
Iwe tuu hiyo ww3 Ili tu reshape upya Order ya Dunia..

Haiwezekani watu wawe wanaonea wengine,tuanze upya,mbona wale wa awali walipigana na wakaanza upya.
my broda, ww3 is not how u think it would be.. i mean it will be catastrophic in a way tht words alone cannot fully reveal out the true picture..
 
dyfre I like learning new things. This is the second time you are telling me that Kenya's gdp per capita is $2,296. Please give me the source of your information. I can't just use that figure without evidence. I use $1,900 because that is what I can find on the internet from a verifiable source. So show me your source and I will start using your new figures otherwise, I cannot just use your figures without evidence.
i realy admire your authenticity, i also wish to be authentic and trustworthy at all cost. let it even be witnessed here in every post i lay forth


enway, my findings were not guess work, i got them from here 👇🏽

Screenshot_20220317-143647_Chrome.jpg
 
i realy admire your authenticity, i also wish to be authentic and truth worthy as much as possible in whatever post i lay forth.


enway, my findings were not guess work, i got them from here 👇🏽

View attachment 2154053
Thank you for the source. From now on I will be using that figure. I didn't know Kenya had such a high gdp per capita. This is interesting.
 
Thank you for the source. From now on I will be using that figure. I didn't know Kenya had such a high gdp per capita. This is interesting.
Hiyo 2020 , hivi 2022 itakua $3,500 kabisa . Kunyaland niatawi ya juu
 
Hiyo 2020 , hivi 2022 itakua $3,500 kabisa . Kunyaland niatawi ya juu
GDP per capita za mchongo in 2020 it was Usd 1475 now it is Usd 2200 within a year to 2021 GDP per capita has shot up by 50% in the presence of pandemic brilliant economics isn't it.

Source pendwa

Screenshot_20220317-153956_Opera.jpg
 
UKWELI UPO HAPA BAINA YA RUSSIA NA U.S.A

Sijui kama watu wanakumbuka tukio la Cuban missile crisis USSR la October - November 1962, Soviet katika kilele cha nguvu zake na ubabe duniani waliweka makombora (missile) Cuba, kama eneo muhimu la kueneza Ujamaa Amerika ya Kusini na Kaskazini pia, Marekani walipofahamu tu jambo hili, ukaibuka mvutano mkubwa duniani uliohatarisha vita kuu ya pili duniani, Marekani walikizunguka Kisiwa cha Cuba kwa Meli na ndege kwa mwezi mzika, na mwisho makombora hayo yaliondolewa na Russia baada ya majadiliano ya mezani kama wakubwa sio vinginevyo.

Marekani waliona ni hatari kwa usalama wao Soviet kuweka kituo chao cha Kijeshi Cuba, Tambua Cuba ilikuwa nchi huru kama Ukraine, yaani Cuba ileile ya mjamaa halisi Fedel Castro ambae alikuwa ni adui mkubwa wa Marekani hadi kufa kwake. Sasa anayeamini kuna uhuru wa nchi mbele ya Super power countries huyo bado ni mtoto duniani, akae kitako tuendelee kumfundisha kwamba uhuru unaojadiliwa na kusimuliwa ni ule wa kisiasa wa ndani tu wa vyama vya siasa na wa kuzungumza, nje ya hapo dunia ya tatu haiko huru na haitakuwa huru. Uhuru ni dhana pana sana. Haihusiani na Maslahi ya nchi kwa Marekani, Urusi na Uchina japo uchina bado hajajikomboa kufika viwango vya hawa wawili.

Sehemu ya mahojiano hiyo Jasusi huyu anarejea kwenye hoja zangu za kufafanua na kukazia, anasema;

Colonel Douglas Macgregor anasema kuwa Marekani ina nafasi ya kuepusha vita na Putin (Russia). Jambo la kwanza wanalopaswa kufanya Wamarekani ni kukiri na kukubaliana na nukta ya msingi ya Putin (Russia), ambayo serekali ya Russia imeiweka wazi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Nukta yenyewe ni kuwa Russia hawataki majeshi ya Marekani, mizinga ya Marekani, na majeshi ya NATO kwenye mpaka wake na Ukraine (Mashariki ya Ukraine kwenye majimbo yaliyotangazwa huru na Putin).


Colonel Douglas akaendelea kusema: Kiukweli kabisa hata sisi Wamarekani hatukuyataka majeshi ya Russia na mizinga yake ndani ya Cuba (mwaka 1962), Putin naye hataki mambo hayo mashariki mwa Ukraine. Lazima tukubali madai hayo. Tuache kujifanyisha kuwa madai hayo hayana maana (ni ya kipuuzi).


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom