Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Russia ni wajinga wanatuma tank kuattack bila kuzipatia escort ya helicopter au jets to cover. Ni kama mbuzi wanaokwenda kichinjioni. Tanks zinabomolewa na bombs za TB2 utafikiri ni video game. Hata CNN wanashangaa hii ni Russia gani hii? Hii sio ile Russia tumezoea. Yaani ukiona vifaru vinageuza na kutoroka kwenye battle ujue TB2 mwanaume wa kazi amewasili.
Labda wanatafuta zinapotokea hizo drone hawawezi fanya ujinga bila sababu . Kumbuka vita inapigania ndani ya Ukraine sio Russia . Hivyo bado Ukraine wapo kwenye hali tete hawajaweza kumtoa aduiRussia ni wajinga wanatuma tank kuattack bila kuzipatia escort ya helicopter au jets to cover. Ni kama mbuzi wanaokwenda kichinjioni. Tanks zinabomolewa na bombs za TB2 utafikiri ni video game. Hata CNN wanashangaa hii ni Russia gani hii? Hii sio ile Russia tumezoea. Yaani ukiona vifaru vinageuza na kutoroka kwenye battle ujue TB2 mwanaume wa kazi amewasili.
Watafikushwa kuzimbani my a$$! Na bado mwaka huu watakionaHii haiwezi kuwa excuse,probe itafanyika na mtafikishwa kizimbani.
the usual chaotic darTeargas Kuja hapa uone vile hizi picha zimetoa watu jasho
![]()
Levi's stores Nairobi
View attachment 2145968
View attachment 2145963
Levi shop and electronics Daresaalam
View attachment 2145965View attachment 2145966View attachment 2145967
View attachment 2145962
Wewe ndio umeongea vizuri, Mchina na Mrusi walishajiandaa nia yao kubwa ni kuitikisa dollar.China anaenda kua wholesaler wa mafuta , urusi anabaki kuna manufacturer . Yaani hata thamani ya yuan inaenda kupanda . $ itapungua thamani yaani lazima ishake bila kupenda
Sasa wanajeshi badala salimu amri wanakimbilia kujificha kwenye makazi ya watu na sehemu zenye raia wakawaida sasa wewe unategemea niniHii haiwezi kuwa excuse,probe itafanyika na mtafikishwa kizimbani.
Narudia hii sio excuseSasa wanajeshi badala salimu amri wanakimbilia kujificha kwenye makazi ya watu na sehemu zenye raia wakawaida sasa wewe unategemea nini
Russia ni wajinga wanatuma tank kuattack bila kuzipatia escort ya helicopter au jets to cover. Ni kama mbuzi wanaokwenda kichinjioni. Tanks zinabomolewa na bombs za TB2 utafikiri ni video game. Hata CNN wanashangaa hii ni Russia gani hii? Hii sio ile Russia tumezoea. Yaani ukiona vifaru vinageuza na kutoroka kwenye battle ujue TB2 mwanaume wa kazi amewasili.
Russia ni wajinga wanatuma tank kuattack bila kuzipatia escort ya helicopter au jets to cover. Ni kama mbuzi wanaokwenda kichinjioni. Tanks zinabomolewa na bombs za TB2 utafikiri ni video game. Hata CNN wanashangaa hii ni Russia gani hii? Hii sio ile Russia tumezoea. Yaani ukiona vifaru vinageuza na kutoroka kwenye battle ujue TB2 mwanaume wa kazi amewasili.
Mara midege kama yote na mingine iko njianiTheir best things they are bragging of every single mornie and night ni express way ya mchina na apartments za wenyewesisi tunaendelea kuvunja records zetu wenyewe,
Mara treni za umeme
Mara BRT phase 2
Mara bwawa kubwa la umeme
Mara we connecting EA region kwa reli ya umeme
Mara mji wa serikali Dom
Mara Madaraja makubwa kila mahali
.
. Tayari we the biggest exporter in the region, and now tunapiga $3.5 billion za madini tu
Uku nako SLA yasainiwa tayari kwa full control of Uganda cargo.. Tony254 sisi ni baba wa EA uache mchezo kabisa


