Wewe wacha kuongea maneno mengi yasiyo na tija. Tazama jinsi Jeshi lako hafifu la Russia linapigwa na TB2 hadi jeshi linatoroka. Sijawahi kuona tank zikitoroka vitani. Hii ndio mara ya kwanza. Yaani TB-2 haicheki na hawa maumbwa.Nilisema hapa wageni na civilian wameambiwa watoke . Majority wametoka warusi hawana huruma . Halafu Ukraine wanajifanya wanapigana gorilla war kujificha kwenye makazi ya watu . Warusi wana roho ngumu watapiga hivyo hivyo . Bora rais wao akubali kuokoa maisha ya civilian na wanajeshi wake pamoja na miundombinu
Their best things they are bragging of every single mornie and night ni express way ya mchina na apartments za wenyewe 😂😂😂 sisi tunaendelea kuvunja records zetu wenyewe,Wao wako na xpress way ya mchina![]()
Katika kipindi cha mwaka mmoja tangu sa100 kukalia kiti cha uraisi imeripotiwa Tz ku export madini yenye thamani ya dola za kimarekani $3.5 billion lakini pia na serikali kukusanya $259 million kama maduhili. Source wizara ya madini.. 👇. Tony254 nyie endeleeni kupigazana kelele na kaka zenu tu, walee twarukaa priii 😅.
Hivi ni lini tutarebase GDP? I'm pretty sure that our GDP is bigger than 73 billion dollars tunayoaminishwa! Uchumi wetu umeexpand sana.Gdp ni uchoko, sasa kunyaland inauza nini cha dhamani hii nje ya nchi?
Hahaha. Wooi woi woi Russia wanaona moto. Bayraktar sio mchezo. ichoboy01 kuja uone jinsi TB-2 invyofanyia vijana wako wa Russia. Wanapigwa hadi wanatoroka wenyewe.
Ati what 🤣🤣🤣🤣🤣Alafu it is made in Tanzania🤣🤣🤣
Same thing kuwa na showroom ya Porsche na Bentley...mbona wasiweke showroom ya Lamborghini Nairobi?Kuwa na Levi's store ndio unamaanisha wakenya Wana hela..? Kichwa mchunga kweli we jamaa😂😂
Mchezo wa Bayraktar
Wewe jamaa akili zako ni sawa na mdogo wangu wa mwisho pale home, hufai kujadili na mimi chochote, heb kaoshe matako upumzikeSame thing kuwa na showroom ya Porsche na Bentley...mbona wasiweke showroom ya Lamborghini Nairobi?
You are laughable dude!
Y'all been brainwashed to thinking Kenyans have no money it's Just hunger and slums eey?? Sorry to disappoint you dude 🤣🤣🤣
Huku kiwanda kabisa.
Halafu punguza ukondoo.
Kama akili yako inaongelea matako na huyo mdogo wako je? 😅😅 Shida!!Wewe jamaa akili zako ni sawa na mdogo wangu wa mwisho pale home, hufai kujadili na mimi chochote, heb kaoshe matako upumzike
GDP ya Tz ni $150bn, itakapofika 2025 tutakuwa na GDP ya $200bn usisikilize vijarida uchwara angalia financial muscles ambayo tunayo kwa miradi inayofanyika na maendeleo ya Tz ya ss in general.Hivi ni lini tutarebase GDP? I'm pretty sure that our GDP is bigger than 73 billion dollars tunayoaminishwa! Uchumi wetu umeexpand sana.
Nenda kabishane na wapuuzi wenzako kibera ukoKama akili yako inaongelea matako na huyo mdogo wako je? 😅😅 Shida!!
Mbona usitumie Logic? Ukiwa na a business idea you first identify a niche (calculate market demand vs market supply)
Sasa wewe ukisema uweke electronic shop pale downtown kariokoo, uuze high end phones kina iPhone 13 pro max ya close to ksh 200k, badala ya kuuza vi tecno vya 10-15k si utakufa njaa?! 😅
Huku kiwanda kabisa.
Halafu punguza ukondoo.
Kwahiyo kuwa na store na kuwa na kiwanda kabisa cha hizo nguo bora nn? We mkunya mpumbavu, hizo nguo zinatengenezwa Tz zinaletwa huko cz Kenya ni soko letu kubwa kwa ss, huoni tunaingiza pesa nyingi toka kwenu kutokana na biashara? Nowadays tunawauzia vitu vingi kuanzia raw materials, processed products mpk nguo. Juzi tu hapa kijana toka Tz Mr. Vunja bei kaingia mkataba na jeshi la Kenya kwa ajili ya kuwatengenezea uniform za jeshi.Watu wa kujibu tu bila kufikiria... I wasn't talking about production, cause we have a production plant here as well, do you Know what a "store" is ????!!! Is English that hard??