Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Duh.Kenya mashoga wengi kuliko dsm
Duh.Kenya mashoga wengi kuliko dsm
Warusi wanafanyia raia wa Ukraine unyama kwa sababu wameshindwa kufanyia jeshi la Ukraine unyama. Hii ndio tactic yao ya kupunguza ari au motisha ya wanajeshi wa Ukraine. Ila Russia kubomb hospitali ya wamama waja wazito na watoto wadogo ni unyama sana. Hata sijui Watanzania wanaosupport unyama huu wa Russia wanafikiria nini.Ndugu huoni baada ya kupigwa sasa wanafanya uhalifu wa kivita kwa kushambulia huduma za jamii kinyume na sheria za vita.
Hicho ndicho kiliwapekeka kuvamia Ukraine?
Source sio CNN. Source ni ministry of Defence of Ukraine. Media nyingi zimeireport. Sasa unatafuta pa kutokea ndio maana unadanganya kwamba source ni CNN. CNN wenyewe wamesema wametoa video kutoka ministry of defence of Ukraine.source CNN 😂😂😂😂 wazee wa propaganda
wakenya nawapeni ushauri kuhusu ishu ya Chelsea na Roman Abramovich na FIFA
FA yenu si ilifungiwa kisa serikali kuingilia mambo ya soka.. sasa nyie anyishen hashtag huko twitter FIFA waache double standard kwa UK government, maana serikali yao imeingilia masuala ya mpira kwenye club ya chelsea kisa mrusi Abramovich
Let's go.....tulieni vita ni uwanjani sio kwenye media, vita vikimalizika kila ukweli na uongo utajulikana, kwasasa wacha vita viendelee, kusingizia kwamba raia wanalengwa ndio silaha pekee iliyobaki kwa Ukraine ili kuishawishi Urusi kusimamisha kichapoSource sio CNN. Source ni ministry of Defence of Ukraine. Media nyingi zimeireport. Sasa unatafuta pa kutokea ndio maana unadanganya kwamba source ni CNN. CNN wenyewe wamesema wametoa video kutoka ministry of defence of Ukraine.




Hivi unaweza kutaja idadi ya raia waliouliwa na majeshi ya Marekani huko Afghanistan na Syria?, Mara ngapi ndege na Drones za Marekani zimeshambulia makundi ya watu waliko katika mikusanyiko ya harusi, sokoni na Hospitali huko Afghanistan na Syria?Warusi wanafanyia raia wa Ukraine unyama kwa sababu wameshindwa kufanyia jeshi la Ukraine unyama. Hii ndio tactic yao ya kupunguza ari au motisha ya wanajeshi wa Ukraine. Ila Russia kubomb hospitali ya wamama waja wazito na watoto wadogo ni unyama sana. Hata sijui Watanzania wanaosupport unyama huu wa Russia wanafikiria nini.
Hii ni vita Kati ya Russia na NATO, unategemea kwamba Russia itashinda kwa urahisi?, "It isn't walk in the park", lazima kutatokea Mambo Kama hayo, kumbuka hapo sio porini ni mjini kwenye Nyumba, lazima "ambush' zinatokea.Russia ni wajinga wanatuma tank kuattack bila kuzipatia escort ya helicopter au jets to cover. Ni kama mbuzi wanaokwenda kichinjioni. Tanks zinabomolewa na bombs za TB2 utafikiri ni video game. Hata CNN wanashangaa hii ni Russia gani hii? Hii sio ile Russia tumezoea. Yaani ukiona vifaru vinageuza na kutoroka kwenye battle ujue TB2 mwanaume wa kazi amewasili.
Wapumbavu Sana hao na Dunia haitakiwi kuwachekea,wanachofanya saizi ni uharifu na uharibifu wa maliWarusi wanafanyia raia wa Ukraine unyama kwa sababu wameshindwa kufanyia jeshi la Ukraine unyama. Hii ndio tactic yao ya kupunguza ari au motisha ya wanajeshi wa Ukraine. Ila Russia kubomb hospitali ya wamama waja wazito na watoto wadogo ni unyama sana. Hata sijui Watanzania wanaosupport unyama huu wa Russia wanafikiria nini.
Jeshi la Urusi limeshindwa kupigana na jeshi la Ukraine sasa wameona wamama waja wazito ndio target rahisi kwao.Let's go.....tulieni vita ni uwanjani sio kwenye media, vita vikimalizika kila ukweli na uongo utajulikana, kwasasa wacha vita viendelee, kusingizia kwamba raia wanalengwa ndio silaha pekee iliyobaki kwa Ukraine ili kuishawishi Urusi kusimamisha kichapo![]()
Hahaha. Si wewe ndio jana ulikuwa unaniambia kwamba Russia imeshashinda vita hivi. Sasa leo umebadilisha goal post na kusema kwamba vita hivi vinategemewa kuwa vikali kwa sababu Nato wanasaidia Ukraine? Naona ufahamu umeanza kukurudia. Umeanza kuelewa kwamba hii vita sio ya kitoto. Hata Russia haikutegemea kwamba vita vitakuwa vigumu hivi, ukizingatia wao ni superpower na wana uwezo mkubwa na silaha nyingi. Planning ya Russia ni mbovu. Ukizingatia wana msafara wa kilomita 40 ya magari ya kijeshi yaliyokwama kaskazini mwa Kiev kwa sababu ya kukosa mafuta.Hii ni vita Kati ya Russia na NATO, unategemea kwamba Russia itashinda kwa urahisi?, "It isn't walk in the park", lazima kutatokea Mambo Kama hayo, kumbuka hapo sio porini ni mjini kwenye Nyumba, lazima "ambush' zinatokea.
Hii vita umeshakwisha Kama sio hao raia wanaozuia majeshi ya Urusi kusonga mbele kwa Kasi, lazima wachukue tahadhari kubwa waepuke kuwauwa raia, vinginevyo Sasa hivi Ukraine ingeshakuwa ni majivu.Hahaha. Si wewe ndio jana ulikuwa unaniambia kwamba Russia imeshashinda vita hivi. Sasa leo umebadilisha goal post na kusema kwamba vita hivi vinategemewa kuwa vikali kwa sababu Nato wanasaidia Ukraine? Naona ufahamu umeanza kukurudia. Umeanza kuelewa kwamba hii vita sio ya kitoto. Hata Russia haikutegemea kwamba vita vitakuwa vigumu hivi, ukizingatia wao ni superpower na wana uwezo mkubwa na silaha nyingi. Planning ya Russia ni mbovu. Ukizingatia wana msafara wa kilomita 40 ya magari ya kijeshi yaliyokwama kaskazini mwa Kiev kwa sababu ya kukosa mafuta.



How did u come to that conclusion while not even completed?The most beautiful building in the region.
Chief unapoteza muda wako kujibizana na wanaosema russia anapigwa, haipaswi hata kuwa na mjadala wa hili swalaLabda wanatafuta zinapotokea hizo drone hawawezi fanya ujinga bila sababu . Kumbuka vita inapigania ndani ya Ukraine sio Russia . Hivyo bado Ukraine wapo kwenye hali tete hawajaweza kumtoa adui
Sure, hata waarabu wapo kwenye hii league kimyakimya. Watu wanafikiri Putin kaingia kichwakichwa wakati hadi EU washashtukia mchezoWewe ndio umeongea vizuri, Mchina na Mrusi walishajiandaa nia yao kubwa ni kuitikisa dollar.
Na ili dollar ibaki salama Marekani anatakiwa kutumia akili kubwa sana ikiwa ni pamoja na kutojiunga na hii vita.
Wee jamaa kila mara unateteaga vilaza imefika mahali hata kama mtu namkubali kiasi gani ila ukiwa upande wake tu naanza kumdauntNarudia hii sio excuse