Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini bado utaulizwa huo umeme wa rufiji mtautumiaje hehe
In the next five years mahitaji ya umeme yatakuwa makubwa sana, hii investment yote itakuwa kigamboni na Huyu ni one investor, amesema kuna investors wengine kutoka Egypt wanataka kuja kuinvest! On top of that kuna industrial parks zinakuja kuanzishwa pwani hivi karibuni na mama juzijuzi alikuwa Dubai kuna investors wameshasaini mikataba kuja kuwekeza bila kusahau juzi kati GSM alinunua malori mengi kutoka kampuni moja ya China jina limenitoka, Hii kampuni imevutiwa sana na imesema inakuja kuleta assembly plant in TZ maana wanauza units nyingi.
 
Uta step wewe kabla ya Zelensky
 
Pia Russia wameanza kutapatapa na kutoa vitisho mbuzi baada ya several western industries ku shut operations zao huko kwa Hitler wa zama hizi.

 
Russia pia wamesema watafunga bombs lao la mafuta...Marekani wamesema wanaangalia uwezekano wa kuanza kuwapigia upya magoti Irani na Venezuela..hii vita dunia nzima itaumia not only Urusi
Marekani hawezi mpigia magoti Venezuela wakati kampuni zake ndio mzalishaji na mnunuzi mkuu wa mafuta ya Venezuela.

Hilo la Iran ni nafuu kwake kwa sababu ni swala la US ku lift vikwazo tuu mafuta yatamiminika.

Saudia wamekataa kuongeza uzalishaji wanataka wa capitalize kwenye bei ya Sasa.
 
Russia will one day regret their invansion.Today China is refusing to trade in Ruble,in some markets Ruble has reached 154 per USD.In short Russian may enter economic ressssion in their history.
China hawezi fuata njia ya kipumbavu ya Putin kutafuta nafasi ya Superpower..

China anachukua njia ya kujenga Uchumi then itakuwa simple kujenga jeshi sio kama hao kima wa Russia wanakomaa na jeshi at the expense the economy.

In fact US has the reason to worry about China, Germany na India.
 
Watakwambia mama anazurura πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…