Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila siku tunaimbiwa hapa vile Dar ni kubwa kuliko Nairobi. Ukubwa ambayo sehemu kubwa stima ni ndoto
Hii hapa Map angalia jinsi umeme ulitapakaa Tz nzima nyie kwenu ni only Nairobi
JamiiForums323231830.jpg
 
Kwa makampuni ya biashara sio rahisi kupambana na nchi za Magharibi, vinginevyo watafilisika.
Kuna kitu the West hawataki tujue maana wanatumia nguvu nyingi ku-silence Russian media! There is something to learn on this!
 
Hiyo ni map ya Tanzania? Yani umeona jinsi Nairobi inavyong'aa kushinda Dar is slum hadi ukachanganyikiwa!
Wewe una matatizo ya macho au? Angalia tena, mm congelei Dar au Nairobi, nakwambia angalia Tz alafu angalia na Kenya
JamiiForums323231830.jpg
 
Back
Top Bottom