The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hii hapa Map angalia jinsi umeme ulitapakaa Tz nzima nyie kwenu ni only NairobiKila siku tunaimbiwa hapa vile Dar ni kubwa kuliko Nairobi. Ukubwa ambayo sehemu kubwa stima ni ndoto![]()
![]()







Hii hapa Map angalia jinsi umeme ulitapakaa Tz nzima nyie kwenu ni only NairobiKila siku tunaimbiwa hapa vile Dar ni kubwa kuliko Nairobi. Ukubwa ambayo sehemu kubwa stima ni ndoto![]()
![]()







Mamamamaaaaa tunajiaibisha sn kuweka hii battle wallahi.
Kuna kitu the West hawataki tujue maana wanatumia nguvu nyingi ku-silence Russian media! There is something to learn on this!Kwa makampuni ya biashara sio rahisi kupambana na nchi za Magharibi, vinginevyo watafilisika.
Watakuambia Dar ni kubwa kuliko Nairobi.Wacha nikusaidie kuzoom mijinga😄😄😄View attachment 2137772






Hiyo ni map ya Tanzania? Yani umeona jinsi Nairobi inavyong'aa kushinda Dar is slum hadi ukachanganyikiwa! 😂Hii hapa Map angalia jinsi umeme ulitapakaa Tz nzima nyie kwenu ni only NairobiView attachment 2137805
Halafu Mwangaza wa Mombasa na Dar zinatoshana. It is a shame kwamba city yetu ya pili inatoa mwangaza sawia na the biggest city ya Tanzania.Hii hapa Map angalia jinsi umeme ulitapakaa Tz nzima nyie kwenu ni only NairobiView attachment 2137805
Wewe una matatizo ya macho au? Angalia tena, mm congelei Dar au Nairobi, nakwambia angalia Tz alafu angalia na KenyaHiyo ni map ya Tanzania? Yani umeona jinsi Nairobi inavyong'aa kushinda Dar is slum hadi ukachanganyikiwa!![]()








Huwa mnabisha tukisema Tz Ina umeme mwingi kuliko KenyaHalafu Mwangaza wa Mombasa na Dar zinatoshana. It is a shame kwamba city yetu ya pili inatoa mwangaza sawia na the biggest city ya Tanzania.













staki panganga mingi... wht i only need is the total national output... period.!Hahahaha, we are about to complete the biggest hydroelectric dam worths $3B, we produce more Natural gas than you, who is richer?![]()
this overrated daresalaam mmetuchosha nayo.....yaawwwwnnnnHii Tz wallahi ni Europe ya EA, ona mambo ya Ulaya haya, wakenya watasubiri miaka 2000 ijayo kupata kitu kama hikiView attachment 2137809
hizo dots ndio tz nzima....lolHii hapa Map angalia jinsi umeme ulitapakaa Tz nzima nyie kwenu ni only NairobiView attachment 2137805
Usichoke mnatakiwa mpambane mfike pale tulipo, muwache uzembe hata kama mna njaa lkn mjitahidi muwe na maendeleo kama sisi.this overrated daresalaam mmetuchosha nayo.....yaawwwwnnnn