babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Mbona unaongea kwa uchungu sn![]()
Maumivu yake yanaonekana kwenye maandishi.



Mbona unaongea kwa uchungu sn![]()



as if kenya hatuna Geothermal energy40% ya viwanda Tanzania vinatumia"Natural gas", we have many options". Tanzania tunatumia gas kuwashinda,![]()
Vikwazo vya uchumi lazima vilenge kila "sector" yenye kuingiza pesa/kufanya biashara, hata vyombo vya habari pia vinafanya biashara au vinasaidia kufanyika kwa biashara, haviwezi kuachwa.Kuna kitu the West hawataki tujue maana wanatumia nguvu nyingi ku-silence Russian media! There is something to learn on this!
Tumia akili japo kidogo, Geothermal inazalisha umeme na kuingiza katika grid ya taifa, huo umeme mnazalisha, 53% ni Geothermal.as if kenya hatuna Geothermal energy View attachment 2137844View attachment 2137845



Then tell us Kenya total national output of Natural gasstaki panganga mingi... wht i only need is the total national output... period.!
yani jiwe la moto.... mi nataka tu Watts za stima kwa ujumla, sio ubeat around the bush.. umeskia dogoThen tell us Kenya total national output of Natural gas
Kaongea kwa uchungu kama cc ndiyo tulisababisha wawe mafukara wa kuomba chakula, wawe na tribalism ya kushinda dunia nzima, wawe na nepotism ya kutisha, au wawe na unemployment rate ya ajabuMaumivu yake yanaonekana kwenye maandishi.![]()








Kaongea kwa uchungu kama cc ndiyo tulisababisha wawe mafukara wa kuomba chakula, wawe na tribalism ya kushinda dunia nzima, wawe na nepotism ya kutisha, au wawe na unemployment rate ya ajabu![]()









Jamaa mafukara mnoo msione wanajitutumua humu, wengi bado wanakaa kwa wazazi licha ya umri kuwa umeenda, na wakunya wengi wa humu hawaishi Nairobi, wengi wanaishi ushagoo mana Kenya miji ambayo ni town ni miwili tuHizi zote ni sifa zao?
Tisha sana Kenya……![]()







Hahaha eti shithole nation,the only shithole its that pathetic kiswahili of yours as its your nationMaisha bora tunayo already kuwaliko coz we score higher than your shithole country in HDI rankings. Ama kuna kipimo kingine ya kujua hali ya maisha ya wananchi zidi ya HDI?

Mmeanza mapambio tena





and i ll keep on repeating.... kenya overshadows tanyanika in almost each and every aspect. jaribu tu kuangalia kwenye kila takwimu itakayo rushwa humuWatakuambia Dar ni kubwa kuliko Nairobi.
Naona taa nyingi SA na misri,sioni tofauti yyte kati ya Kenya na Tz na kama ipo ni ndogo tuHii hapa Map angalia jinsi umeme ulitapakaa Tz nzima nyie kwenu ni only NairobiView attachment 2137805
Mbona pamoja na kuwepo kwa hizo UN offices lakini bado Kenya inaongoza kwa unemployment in EA, hizo ofisi zimesaidiaje?Kwani unemployment sio tatizo la kimsingi kwako? hama unatumia akili kama thermostat

