Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hviw unanielewa nachozungumza au kigamboni kuna projects nyingiz sana zilizojengwa na zinaendelea kujengwa yani kigamboni huwez fananisha tatu city 🤣🤣 yani tatu inaingia kwa kigamboni mara elf moja, hzi ni baadhi ya project ziko ndani ya kigamboni achilia mbali za waty binafsi






Tafadhali usiweke maneno kinywani mwangu. Hatulinganishi Tatu city na Kigamboni. Tunaongelea kuhusu utekelezaji wa master plan husika.
 
ndo mnavyodanganywa hivi Kibera na unaamua kuleta hapa! Hebu leta evidence ya ulichosema! And if that the case mbona msichague a cheaper option but superior quality kama Tanzania?
Wewe ni mzee, jiheshimu na ukubali ukweli for once, cost ya bullet train kama hio mwenzenu ameweka ina cost aje?
 
Kirumba Stadium is a FIFA approved and verified venue for international matches
FMx3mEXWYAAoRaH



VS

Kasarani stadium
abgbz3zyjwzsz95e3f02d7d933c.jpg



Unfortunately kuna mpuuzi juzi alikuwa analinganisha Mkapa stadium na a FIFA banned Kasarani stadium ati!

CC: KANAIRO, NairobiWalker, KENPAULITE, komora096, Teargass n IamLee
 
Hii xpress way ya mchina kasehemu kalikoinuka ni only 8km huwezi kulinganisha na hyo ya Entebe.
🤣🤣🤣🤣🤣 ila mchina 🙌🙌🙌

Ila pilipili usiyoila yakuwashiani? Wapi expressway yenu??😂😂😂😅😅😅🤣🤣🤣tofauti yenu na wale wamama wa kupiga udaku kuhusu majirani ni gani? 😅😅🤣🤣
 
kuna zwazwa mmoja anaongelea tatu city ngoja nitoe elimu kidogo kuhusu tatu city white big elephant project😂😂😂

hzi ni render zake na project hii ina over 13 years toka wameanza kujenga

chungulieni picha za zwazwa huyo alaf angalieni na render kamili mutapima uzani wenyewe🤣🤣🤣👇👇👇

View attachment 2135516View attachment 2135517View attachment 2135518View attachment 2135519View attachment 2135521
Ati 13 years 😂😂 ulidhani ni njia inajengwa imalize miaka tatu? Na hizo city zenu ziko wapi btw 🤣🤣🤣 zilikuwa zinaitwa kigamboni? Hata nimesahau jina, na bagamoyo ipo wapi? Difference between story telling and people who work, na bado unafikiria tuko ligi moja.
 
pata picha jamaa anapewa utani wa kurusha ngumi alafu unakuta Tyson Fury ndo anafanya 👇



Naona hapa ndo methali ya hasira hasara ilipoanzia maana akiingia na hasira anapewa vitasa vya kutosha! 🙆‍♂️🙆‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Exim bank of Tanzania haina branch Ethiopia. Mimi masuala ya benki za ukanda huu nimezifuatilia kwa ukaribu sana. Pengine ina representative office lakini sio branch. Kama unapinga leta evidence
Ingia website yao! In short they operate on the back of Djibouti specialising on logistics btn Addis Ababa n Port Djibouti! Be rest assured when Ethiopia allows other regional banks to operate, Exim Bank Tanzania will be among the first!

Exim Bank expands its wings to Ethiopia
 
Back
Top Bottom