Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Exim bank of Tanzania haina branch Ethiopia. Mimi masuala ya benki za ukanda huu nimezifuatilia kwa ukaribu sana. Pengine ina representative office lakini sio branch. Kama unapinga leta evidence
Branch ipo since 2019. Tena angalia news zenu hapo usije kusema ni habari toka vyanzo vyetu.

Screenshot_20220301-223105_Opera.jpg
 
Za kikejeli kwasababu zinatoka kichwani kwako. Leta proof kuwa progress yao ni 1% hapa. Kigamboni wanajenga Ndio, lakini wanafuata hii master plan?
Maana phase one ilitakiwa kuwa completed in 2020, lakini mpaka sasa hakuna mtu anayefahamu kama mradi unaendelea au umesimama.
View attachment 2135619
hviw unanielewa nachozungumza au kigamboni kuna projects nyingiz sana zilizojengwa na zinaendelea kujengwa yani kigamboni huwez fananisha tatu city 🤣🤣 yani tatu inaingia kwa kigamboni mara elf moja, hzi ni baadhi ya project ziko ndani ya kigamboni achilia mbali za waty binafsi





 
Kabarabara kembamba kameinuka kwa 8km na 19km zilizobaki ni chini lkn wamepigwa $0.668bn na cost zinaendelea, alafu wanataka kufananisha na hii the giant xpress way ya Mu7[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2135624View attachment 2135625View attachment 2135626
This kind of highway can never be found in poor country like Tanganyika 😆😆😆 imagine ata mnachapwa na UG kwa highways,,,Btw southern bypass is better than this😁
 
This kind of highway can never be found in poor country like Tanganyika [emoji38][emoji38][emoji38] imagine ata mnachapwa na UG kwa highways,,,Btw southern bypass is better than this[emoji16]
Kuna zwazwa ka like huu utopolo [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
So lower compensation costs ndiyo zikapelekea mjengewe elevated section ya only 8km plus non elevated of 19km at a cost of more than $0.68bn?
Kwani tunajenga na pesa yetu,we don care the amount watatumia,we just need it to be completed as fast as possible for our benefits hizo charges are nothing compared to time management and accessibility especially to the airport
 
nilikuwa napitia ilani ya uchaguzi, nione serikali inapaswa kufanya nn kwa mwaka 2020-2025
nimekutana na huu ujenzi wa njia nane kibaha hadi chalinze (km 75)
na serikali inapaswa kujenga km 6000+ za barabara za lami
IMG_4793.jpg
 
This kind of highway can never be found in poor country like Tanganyika 😆😆😆 imagine ata mnachapwa na UG kwa highways,,,Btw southern bypass is better than this😁
sio nyinyi mwenye mradi ni mchina na atamiliki kwa miaka 30 na hamutapita bila malipo kwa mchina kwenye ardhi yenu 🤣🤣 huoni ajabu 🏃🏽🏃🏽🏃🏽 jubilee tano tena
 
Back
Top Bottom