ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hautakuja kutokea mpaka dunia itasimama😂Hivi kuna mradi ambao hawajapigwa?
hautakuja kutokea mpaka dunia itasimama😂Hivi kuna mradi ambao hawajapigwa?
[emoji23][emoji23][emoji23] danganyika shit hole kweliAla? Kumbe sarafu ya Tanzania ndio mbovu kabisa Afrika nzima dhidi ya dollar? Yaani hata Somalia na South Sudan wala sarafu yenye nguvu dhidi ya dollar kuwashinda? Mnavuta mkia kwenye kila kitu.
View attachment 2135265
ichoboy01 Geza Ulole joto la jiwe The best 007 tuusan
anachanganya chumvi na sukari 🤣🤣🤣🤣 na hajui thika imejenga 2019 leo ni 2022 bado anafkiri cost zitabaki zile zile 🤣🤣Fool We r talking of Nairobi Express way! And not Thika Highway built during Kibaki era!
![]()
kejeli gani tatizo lako ni moja tu punguza ujuaji na kujifanya kila kitu unajua kuliko wengine na usifkiri mtu akikaa kimya usifkiri hajui 😂😂😂Ukiona mtu anaanza kutoa kejeli na sio kutumia fikra kujibu ujue kashikwa kunako.
Kucheka maendeleo ya mtu ni ujinga. No matter how small their progress is it’s still progress. Wewe unamcheka mwenzio ameshaanza ujenzi na Wewe bado Uko kwenye drawing board? Mjinga ni nani kama si wewe?
Sasa Ngoja nikuulize swali. Japokuwa hizo estimation zako za progress ni za kejeli. Progress ya asilimia moja sio progress? Wametoka 0% to 1% right? Clearly wamepiga hatua. Sasa linganisha hatua waliyopiga Tatu City na Kigamboni city halafu uniambie kwanini unawacheka wao na sio kujicheka mwenyewe. Ningekuunga mkono kama hata phase 1 ya Kigamboni plan ingekuwa imetekelezwa by now, lakini hakuna kinachoendelea.kejeli gani tatizo lako ni moja tu punguza ujuaji na kujifanya kila kitu unajua kuliko wengine na usifkiri mtu akikaa kimya usifkiri hajui 😂😂😂
mm tatu city nimeiskia toka niko A level mzee yani ukiangalia render na ukiangalia walichojenga hata 1% bado hawajafikia na ni more than 15 yrs leo tunazungumza na bahat nzuri hata wao wanajua kua ni white elephant ww ni nani ubishe ???
mm hua sicheki bali naleta ukweli ambao wao hua hawasemi kamwe ndio maana wananichukia ukiwemo na ww ngozi ya kondoo ndani fisi usifkiri hatujakujua bado 🤣🤣🤣🤣
Anaichukulia poa, alafu anaweka picha iliyopigwa vby to support his ego [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yule much know nimeskia anaitaja hii express way [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
za kikejeli au naongea ukweli na ww ukweli hupendi 😂😂😂 wamepiga hatua ipi ambayo over 15 yrs hata 1% of the render bado hio unasema ni hatua?? kigamboni kuna projects nyingi sana zilizojengwa na zinazojengwa alaf speed ya ujenzi kigamboni huwez fananisha na tatu city mzee, kigamboni ni sawa mara 1000 ya hio area ya tatu citySasa Ngoja nikuulize swali. Japokuwa hizo estimation zako za progress ni za kikejeli. Progress ya asilimia moja sio progress? Wametoka 0% to 1% right? Clearly wamepiga hatua. Sasa linganisha hatua waliyopiga Tatu City na Kigamboni city halafu uniambie kwanini unawacheka wao na sio kujicheka mwenyewe. Ningekuunga mkono kama hata phase 1 ya Kigamboni plan ingekuwa imetekelezwa by now, lakini hakuna kinachoendelea.
nikisema ni zwazwa munielewe sasa 😂😂Anaichukulia poa, alafu anaweka picha iliyopigwa vby to support his ego [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kawaida ya hawa watz wa enzi za Nyerere kutojiamini (wengi wao), mpotezee tu.za kikejeli au naongea ukweli na ww ukweli hupendi [emoji23][emoji23][emoji23] wamepiga hatua ipi ambayo over 15 yrs hata 1% of the render bado hio unasema ni hatua?? kigamboni kuna projects nyingi sana zilizojengwa na zinazojengwa alaf speed ya ujenzi kigamboni huwez fananisha na tatu city mzee, kigamboni ni sawa mara 100 ya hio area ya tatu city
how comes anafananisha project ya investor mmoja pale tatu city na kigamboni 🤣🤣🤣 huyo investor mwenyewe alishafeli ndio maana hakuna kinachoondelea pale 15yrs now alaf anabwatuka tuKawaida ya hawa watz wa enzi za Nyerere kutojiamini (wengi wao), mpotezee tu.
Za kikejeli kwasababu zinatoka kichwani kwako. Leta proof kuwa progress yao ni 1% hapa. Kigamboni wanajenga Ndio, lakini wanafuata hii master plan?za kikejeli au naongea ukweli na ww ukweli hupendi 😂😂😂 wamepiga hatua ipi ambayo over 15 yrs hata 1% of the render bado hio unasema ni hatua?? kigamboni kuna projects nyingi sana zilizojengwa na zinazojengwa alaf speed ya ujenzi kigamboni huwez fananisha na tatu city mzee, kigamboni ni sawa mara 1000 ya hio area ya tatu city
Kizazi cha Nyerere hicho mkuu, kwanza alishaaga humu kwenye hii thread sasa cjui kasahau nn karudi, ina maanisha hajiamini na anachokisema so simply haaminiki. Usibishane na wahenga mkuu wamepitwa na wakati.how comes anafananisha project ya investor mmoja pale tatu city na kigamboni [emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo investor mwenyewe alishafeli ndio maana hakuna kinachoondelea pale 15yrs now alaf anabwatuka tu
Which serious steps have you taken to curb corruption?, This problem had been there since independence and is getting worse and worse. It is time for you to come and learn how we deal with corruption.Kenyans have never denied corruption in their country. Ni nyinyi ndio huwa hamtaki kukubali eti kuna corruption Tanzania hadi Walker255 na tuusan wakiwaeleza munawaita Wakenya.
We Kenyans raise alarm all the time and we know such things happen. Hapo kwenu mambo haya yanafanyika ila hamtaki kukubali.
Maneno 10 ya mkenya usichukue hata Moja, hao hawana wanaloliweza zaidi ya kupenda sifa na kudanganyanimeskia zwazwa anasema thika ni 10 lanes wakat waliojenga wanasema ni 8 lanes nani mwenye akili na mjuaji kuliko mwenzake [emoji23][emoji23]
Hii ndiyo dawa yao, usichukue hata moja.Maneno 10 ya mkenya usichukue hata Moja, hao hawana wanaloliweza zaidi ya kupenda sifa na kudanganya