Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya kwa kutafuta unga aisee hamtuwezi. Sijafurahishwa na kujikomba huu kwa maana Wanigeria wanapopigwa na Boko Haram sijawahi kuona KICC ikiwashwa stima ya bendera ya Nigeria namna hii. Lakini hii yote ni kutafuta unga. Yaani ndio maana tuna gdp kubwa kuwashinda kwa maana tunawashinda maarifa. Nyie bakini na ujamaa wenu.
download (1).png
 
wacha kupoteza muda arch structure ya bridge ya kuweka uimara unayoongelea wewe kwenye clip huwa inakuwa kwa marefu ya daraja na si mapana mzee! Hiyo arch hapo haina tofauti na ile ya Tanzanite yaani imegeuzwa! angalia vizuri! Tena ukiangalia vizuri both structure zimezingatia tectonic forces!
Mkuu siku za mbeleni ntakukumbusha hili watakavyokua wanatoa ufafanuzi kuhusu hili maana vitako vya kigongo busisi pia wametumia style kama ya kazungula kwenye vitako vinavyoconnect nguzo za daraja. Na hii ni kutokana na kwamba kigongo busisi pia yatakua yanapita magari ya mizigo mikubwa mara kwa mara ukilinganisha na tanzanite bridge
 
Kenya kwa kutafuta unga aisee hamtuwezi. Sijafurahishwa na kujikomba huu kwa maana Wanigeria wanapopigwa na Boko Haram sijawahi kuona KICC ikiwashwa stima ya bendera ya Nigeria namna hii. Lakini hii yote ni kutafuta unga. Yaani ndio maana tuna gdp kubwa kuwashinda kwa maana tunawashinda maarifa. Nyie bakini na ujamaa wenu.
View attachment 2133562
Hivihivi ndivyo mlivyofanya kipindi cha ukombozi wa nchi za Afrika, mliamua kuegemea wazungu wakati sisi tuliwakumbatia na kupoteza wanajeshi wetu katika kuwakomboa waafrika wenzetu, Leo hii mnajisikia vibaya mkisikia Tanzania inaegemea zaidi SADC na kupiga pesa nyingi
 
Mkuu siku za mbeleni ntakukumbusha hili watakavyokua wanatoa ufafanuzi kuhusu hili maana vitako vya kigongo busisi pia wametumia style kama ya kazungula kwenye vitako vinavyoconnect nguzo za daraja. Na hii ni kutokana na kwamba kigongo busisi pia yatakua yanapita magari ya mizigo mikubwa mara kwa mara ukilinganisha na tanzanite bridge
Unashangaza kung'ang'ania uzito wakati hamna weight limitation Tanzanite bridge!
 
Watume ndege Poland sababu ni kweli Ukraine hakuingiliki, India wamefanya hivyo
Sikiliza video clips za watanzania waliopo huko, 80% ya wanafunzi wa kitanzania wapo miji ya mipakani na Urusi ambayo, ni hatari kutoroka hiyo miji, warusi wameshafunga njia zote za kutoka na kuingia, Bora wabaki huko kwasababu raia wa kawaida hasa wageni hawalengwi, muda mwingi wapo ndani ya mahandaki.
 
Achana ya hao matahaira, mijitu yao inajifia njaa kama kuku huku serikali dhaifu ya mlevi inataka kuwakomboa raia wa nchi nyingine tena wanaoelewa wanachokifanya
Hivi kwani hakuna wanafunzi wa kenya ukraine maana waafrika wanabaguliwa kule hata kupanda train au kuvuka mpaka na Poland wanazinguliwa ...
Afu huku kuna jinga linawatetea waukraine aseee...
 
Kenya kwa kutafuta unga aisee hamtuwezi. Sijafurahishwa na kujikomba huu kwa maana Wanigeria wanapopigwa na Boko Haram sijawahi kuona KICC ikiwashwa stima ya bendera ya Nigeria namna hii. Lakini hii yote ni kutafuta unga. Yaani ndio maana tuna gdp kubwa kuwashinda kwa maana tunawashinda maarifa. Nyie bakini na ujamaa wenu.
View attachment 2133562
Ni kweli kabisa GDP yenu ni ya michongo ila tumeshaistukia, lkn wakenya wenzako wengi wanabisha ila wewe unalijua Hilo.
 
Hivihivi ndivyo mlivyofanya kipindi cha ukombozi wa nchi za Afrika, mliamua kuegemea wazungu wakati sisi tuliwakumbatia na kupoteza wanajeshi wetu katika kuwakomboa waafrika wenzetu, Leo hii mnajisikia vibaya mkisikia Tanzania inaegemea zaidi SADC na kupiga pesa nyingi
Serikali yetu ndio inayofanya maamuzi hayo. Sasa sisi wananchi wa kawaida unatulaumu pia?
 
Back
Top Bottom