Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huku vijana tunamiliki hvo vitu mzee🤣🤣 kwenu mpaka politician ndio mwenye uwezo wa kumiliki au wale investors wakubwa kutoka nje

1252C451-3E76-4D77-A76B-46B8E563A8E1.jpeg
 
Tuko na ngoma ingine
Inaimbagwa mpaka kwa campaign "Maisha ni yangu,Mi Sipangwigwi"
Mitoto iko hapo kwa hio collabo inaitwa" Trio Mio" hio mitoto ni ya Issawatu wanaipenda sana
Baada ya E_sir sijaona wengine waliobamba. Walijaribu necessary noise, Kala mashaka, wakamba wawili but wote walipotea.. Mgenge jua kali alijaribu ku close gap but nae hakufikia viwango..
 
Baada ya E_sir sijaona wengine waliobamba. Walijaribu necessary noise, Kala mashaka, wakamba wawili but wote walipotea.. Mgenge jua kali alijaribu ku close gap but nae hakufikia viwango..
na Ukoo Flani Maumau
 
huku vijana tunamiliki hvo vitu mzee🤣🤣 kwenu mpaka politician ndio mwenye uwezo wa kumiliki au wale investors wakubwa kutoka nje

View attachment 2133347
Sasa waendesha funguo au gari. Kumbe we ni dereva wa boss yako mchina. Ufunguo umekula chumvi...zile Benz za awali. Hongera lakini..we ni mjenga taifa si kama wengine wapiga kelele tu.
 
hiki kizazi cha diamond and harmonize wanadhani wanaimba bongo flava kumbe ndio wanaaribu kabisa.! original bongo ilikua during kizazi cha DazMwalim kwa mfano
Wacha Mambo ya kizamani hayo, ni hivi Sasa ambapo muziki wa Tanzania umekamata Africa Nzima na kuvuka mipaka ya Afrika, haijawahi tokea muziki wa Tanzania kufika hapa ulipo.
 
Wacha Mambo ya kizamani hayo, ni hivi Sasa ambapo muziki wa Tanzania umekamata Africa Nzima na kuvuka mipaka ya Afrika, haijawahi tokea muziki wa Tanzania kufika hapa ulipo.
hio ni kwangu. kila nyani na starehe zake. i cannot compare zuchu with lady jd or ray c for example. kwangu lady jd is far much more original
 
Back
Top Bottom