chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,108
Gari million 1, 2030 hamtazipata kwa matusi 🙄Haya, yarudishe mkvnduni ulimotoa. Usiniletee blogs uchwara hapa. 🤣🤣🤣
Gari million 1, 2030 hamtazipata kwa matusi 🙄Haya, yarudishe mkvnduni ulimotoa. Usiniletee blogs uchwara hapa. 🤣🤣🤣
my presence here bothers u right? Now i will be exposing or the shit from kunyaland! let me compile them!You don't have to be here 24/7 posting nonsense......You are extremely boring View attachment 2133231
Sio kiubaya mi ni mtz ila heko kwa huyo mkenya twitter kwa Kuedit raman ya ea ts fun kiukweli.... muda mwingne utani unafurahisha bwana mi mwenyewe nmechekaaaYou don't have to be here 24/7 posting nonsense......You are extremely boring View attachment 2133231
Kwasasa wananchi wa Zimbabwe ndio masikini zaidi kutokana na "inflation rate" kuzidi 500%lakini wamesema worst than zimbabwe only, and not tanzania or any other country... note; even england is poorer than germany. alafu.!?
Mkuu, uwekezaji kule Liganga-Mchuchuma ni zaidi ya $10B, huo wa $200M kwa uchimbaji wa chuma ngazi ya taifa ni mdogo sana, hata serikali ingeweza kuchimba yenyewe, mkuu "Explorative Industry is capital and labor Intensive", hiyo "$200M itaishia kujenga Barabara na Nyumba za wafanyakazi kule Liganga- Mchuchuma.Aisee watu ni wabishi,Kazi ya kuchimba na kuyeyusha kwani inafanywa na Nchi au watu wawekezaji binafsi?
Nani anaechimba chuma Liganga ambae ni mwekezaji mdogo?
Hapo Uganda zimewekezwa $200 mil.sawa na bil.500 zaTzn,hii ni pesa ndogo?
Acha visingizio kuna shida somewhere.
achana na huyo mshikaji ni headache!Mkuu, uwekezaji kule Liganga-Mchuchums ni zaidi ya $10B, huo wa $200M kwa uchimbaji wa chuma ngazi ya taifa ni mdogo sana, hata serikali ingeweza kuchimba yenyewe, mkuu "Explorative Industry is capital and labor Intensive", hiyo "$200M itaishia kujenga Barabara na Nyumba za wafanyakazi kule Liganga- Mchuchuma.
Kuhusu kwamba wanaowekeza ni watu binafsi na sio Serikali, jibu ni kwamba, katika miradi mikubwa Kama vile ujenzi wa Bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanzania, kiwanda cha LNG huko Mtwara, Bandari ya Bagamoyo, Liganga -Mchuchuma, japo kote huko ni private investments, lakini lazima serikali inahusika pakubwa Sana
Lazima wawekezaji wapate uhakika toka serikalini kwamba pesa zao zitakua salama na watatengeneza faida, lazima wapate uhakika wa umeme wa kutosha na Bei iwe na maslahi kwao.


Hawa vijana ngoja twende nao taratibu, Kuna ambao watajifunza baadhi ya Mambo, japo Kuna wengine kweli ni pasua kichwa.achana na huyo mshikaji ni headache!
Dah... When music was real music in 254..Yani Tanzania ni moto. Hawalali siku hizi wakituwaza. Kama vile E-sir aliiimba "mos mos" wakenya jasho inatiririka tu!
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
Tuko na ngoma ingine🔥😂Dah... When music was real music in 254..
Saiv hata kapuka yenyewe iko down sana wamebakia comedian like Meja..
Yani Tanzania ni moto. Hawalali siku hizi wakituwaza. Kama vile E-sir aliiimba "mos mos" wakenya jasho inatiririka tu!
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
Mtanzania. Kwanini wauliza?We mkenya au mtz sorry..