Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

aah wapi ! nyinyi kujipendeza zouzafrica nayo.!?, eti 'wao ni madugu zetu wa zati', lakini ikifika xenophobic attacks....... nyinyi ndio wakwanza kufurushwa.... hehe😆😆
Sisi uwa hatunaga roho mbaya na waafrica wenzetu ndio maana hapa nchini kuna wakenya wengi tu wamejivika ngozi za wajaluo wa rorya kumbe ni wakenya na hatuwafukuzi maana mungu alitupa neema ya kuwahudumia watu maskini kama nyie,warundi,wanyarwanda na wacongo
 
Sisi uwa hatunaga roho mbaya na waafrica wenzetu ndio maana hapa nchini kuna wakenya wengi tu wamejivika ngozi za wajaluo wa rorya kumbe ni wakenya na hatuwafukuzi maana mungu alitupa neema ya kuwahudumia watu maskini kama nyie,warundi,wanyarwanda na wacongo
Pia sisi hatuna roho mbaya. Omba omba watanzania wamejaa Nairobi na Nakuru tunwatupia vishilingi. Hatuwafukuzi. 😂
 
Shida ya wabongo ni hio. Yani wakiambiwa nchi fulani imewazidi kwa hili, wataenda wafukue the most desolate areas of that country na kuzipost kujiconvince wao ndio bora. Kuna siku mmoja humu alifukua Favelas za Brazil eti anaprove Tanzania iko more developed than Brazil. Yani hawa wajamaa wako na shida.
Wacha uongo wa kinafki, hakuna mtu aliyewahi kusema eti tunaizidi Brazil, alafu kuhusu Accra huo ni upumbavu na haufai kupeww air time.
 
Nakumbuka nilienda Nakuru 2020 nikakutana na wakikuyu wana maisha ya shida sana halafu bila kukosea hapa ndio kwao na Jomo kenyatta,kiufupi nakuru ni uchafu sana ata pia kuna slums za kutosha ila kuna hewa nzuri sana ni kama chugga tu
Nakuru nahisi kwa bongo tuifananishe na kahama au Musoma mara
Ile musoma yenye ata kupata gari kwa stage ni shida?
 
Sisi uwa hatunaga roho mbaya na waafrica wenzetu ndio maana hapa nchini kuna wakenya wengi tu wamejivika ngozi za wajaluo wa rorya kumbe ni wakenya na hatuwafukuzi maana mungu alitupa neema ya kuwahudumia watu maskini kama nyie,warundi,wanyarwanda na wacongo
kwani tanganyija kuna nn cha ajabu nchi maskini kama hio, an LDC country. mjaluo atatafuta nini huko, ilhali hela zenu hazina dhamana. sisi kenya tuko na kila kila kitu. hela tunazo

yani this alone
products-35940.jpg
is even > than
products-17430.jpg
 
Kama kawaida mnaUrgue kama watoto!!
Hapo kulikuwa na jam kubwa sana
A busy junction.
Ata Bila traffic all junctions within highways lazma ziwe na interchange,
Watu wa najenga nirudi for future use.
Hivi jam ghana inatoka wapi wakati hata magari hawana hivi hapo kwene picha umeona hata vigari vingapi kwenye hayo makaazi ya watu, kampala inamaendeleo kushinda ghana
 
Sisi uwa hatunaga roho mbaya na waafrica wenzetu ndio maana hapa nchini kuna wakenya wengi tu wamejivika ngozi za wajaluo wa rorya kumbe ni wakenya na hatuwafukuzi maana mungu alitupa neema ya kuwahudumia watu maskini kama nyie,warundi,wanyarwanda na wacongo
sio sisi, ni nyinyi ndio mnarundika streets zetu na ombaomba.
hakuna narudia hakuna mkenya ata 1☝ tz ombaomba
20220101_193326.jpg
 
kwani tanganyija kuna nn cha ajabu nchi maskini kama hio, an LDC country. mjaluo atatafuta nini huko, ilhali hela zenu hazina dhamana. sisi kenya tuko na kila kila kitu. hela tunazo

yani this alone
View attachment 2132373is even > thanView attachment 2132374
the Tanzania these fake Patriots of tz depict is completely different kwa ground......a country with a gdp per capita of only 1000 dollars is shameful.......with 28 million tanzanians still in extreme poverty...surely now.
 
Nakumbuka nilienda Nakuru 2020 nikakutana na wakikuyu wana maisha ya shida sana halafu bila kukosea hapa ndio kwao na Jomo kenyatta,kiufupi nakuru ni uchafu sana ata pia kuna slums za kutosha ila kuna hewa nzuri sana ni kama chugga tu
Nakuru nahisi kwa bongo tuifananishe na kahama au Musoma mara
Musoma ni kama tu Nyeri
 
Back
Top Bottom