Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eldoret bypass coming up nicely
FB_IMG_1645678937460.jpg
 
Hata mimi namshangaa sijui anazungumzia development gani. The city haina hata maps za transport networks sijui wageni wana navigate vipi Nairobi au ndio mpaka umlipe mtu wa kukuongoza?
Nairobi ina makosa ya kiufundi mengi sn ila ndiyo wamejua miaka ya hivi karibuni baada ya kuanzishwa battle hii.
 
Nairobi ina makosa ya kiufundi mengi sn ila ndiyo wamejua miaka ya hivi karibuni baada ya kuanzishwa battle hii.
Mfano mdogo tu Nairobi ni miongoni mwa majiiji machafu zaidi barani Africa, pili ni miongoni mwa majiiji yenye slums nyingi duniani, yn mzungu ukimtajia Nairobi basi ukae ukijua picha ya kwanza itamjia slum baada ya hapo itakuja wizi, mwisho ndiyo zitakuja sura za watu weusi wembamba waliovaa vichupi huku wakikimbia.
 
ila wakenya, for different kinds of reasons mnatia huruma sana kila sehem matatizo
Wakenya wana maisha magumu kuliko mawe, we angalia hata hawa tunao battle nao humu wengi wao hawana makazi maalum yn km yatima jinsi walivyo wanyonge, kitu pekee wanachotamba nacho ambacho wenyewe ndiyo uwanja wao wa kujifariji ni broken English baasii.
 
Nchi nyingi za kijamaa zimetumia sana wanajeshi. Magu alianza kuutumia mfumo huu, hata baadhi ya wahandisi kwenye mradi wa SGR ni wanajeshi. Tena hizi kazi nyingi za civil kama barabara na vi overpass, wala hatuhitaji wataalamu wa nje. Nakumbuka Magu aliongelea kununua vifaa ili tuweze kujenga reli zetu wenyewe ila kwa kiongozi kama huyu mama yetu ndo basi tena.
Hata kule kwenye meli mza kulikuwa na wanajeshi kibao ila kwa sasa hata jeshi lenyewe limeacha kumtembelea miradi
 
Back
Top Bottom