Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa hii speed unaendea nayo hauko mbali kusema New York itasubiri Sana kufikia level ya chato😄
Kama your top notch Karen ndio hii mna ubavu gani wa kupinga Mwanza?

Hii Karen ina tofauti gani na zile nyumba za mbagala mkizizoom?

2022-2-22_5-23-17.PNG
 
Weee mafiii iyo sio suburbs tu, na part ya cbd...sio mbaya wako na arrangement nzuri...lakin ni Arusha iliyo changamkaa nothing else
Shida mnakuwanga kama maZOMBIE
Kuna suburb kali dar kama iyo!!!
Cheki East Legon vile Ni POSHHHHHH Class ya Kyuna or Rosslyn Nairobi.
 
Tayari analeta ukabila, yn aliposikia jamaa ni mjaluo tu basi nywele za tako zimemsimama
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Hawa vjana wa Nyanza nawaelewa sana pia wanapenda sifa sana kulko ata pesa,yaani yupo radhi alale kwenye mabanda au ashinde njaa
Mkuu watu wengi huwa wakifika mza wanaona nyumba za milimani basi hufikiri mwanza yote iko hivyo.
Maeneo kama Buswelu, nyamhongholo yako tambarare huwezi hata kuona mlima wowote, na watu wamejenga nyumba za maana tu.
Ukiwa kona ya bwiru barabarani Unaweza fikiri umeona mza, sasa nenda bwiru kwenyewe ukaone nyumba za kule.
View attachment 2130251
Umeongea vyema sana,Mwanza imejengeka nje ya jiji,kwa mtu mgeni akifika mwanza akaona zile nyumba za Igogo,Sahara,Mabatini au Bugarika anafikiri mwanza ndiyo ipo hivyo lakini akienda maeneo kama vile bwiru,capri point,nyamhongolo,buswelu,nyasaka,isamilo au mkolani ndio atajua kwanini mwanza ni jiji la pili kwa nchi hii.

Note;Serikali ingefanya mpango ikawahamisha wakazi wa sahara na mabatini maana ni sehemu ambazo zipo karibu sana na city center halafu ikajenga ata appartment kama za buswelu au kule kisesa.
 
1. The plants will absorb the carbon emitted by the vehicles using the expressway, thereby helping in cleaning the air.

2. It blends the expressway with the environment around it, thus acting as a natural beautifier and enhancing the exquisite landscape of the highway.

Imagine driving along this expressway when all these flowers have bloomed! It will give users an overnight natural serenity and ambience.
Okey
 
Hawa Ni wajinga they know NOTHING.
Wapi Dar kuna suburbs Kali hivi!
Ama Ni zile takataka shagalabalaga za masaki without uniformity!!!
ACCRA!!!

Kua na adabu kidogo .video ni nzuri, heshimu masaki ni place poa ever
 
Back
Top Bottom