Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro The best 007 kumbe bhana, ukiachana na ule mradi wa nyumba 1000 wa NHC pale DOM, kuna mradi mwengine wa nyumba 3500 unaofanywa na TBA eneo la nzuguni DODOMA 👇
Screenshot_20220214-150945_1.jpg
. MRADI WA UJENZI WA MRADI WA NYUMBA 3500 NA NYUMBA 20 ZA VIONGOZI WASHIKA KASI JIJINI DODOMA.
 
si lazma kwanza phase III ni ile ya kwenda Gongo la Mboto na kuna MGR inapita the same corridor inayoweza kuwa-linked up na JNIA pia all the way to Gongo la Mboto-Pugu! Vitu vingine ni ucheleweshwaji wa maendeleo kuanza ku-procrastinate mipango! Tram sioni umuhimu wake na kuna nchi nyingi nazijua zimetoa tram na kuweka BRT!
Mgr itabakia kusafirisha mizigo na abiria mikoanii, tunaitaji trams au metro zitakazofika kwenye makazi ya watu mfano tabata, segerea mwisho, kinyerezi, goba temeke hayo maeneo yanawakazi wengi hayataweza kufikiwa na brt na hayo maeneo njia ni nyembamba sana huwezi kujenga brt pamoja barabara za kawaida
 
😎 1 Principal ya combination ya science = 3 Principals za combination ya art
Hapa unamaanisha nn?umepimaje ukapata hivyo? Considering nilisoma PCB wala sioni haja ya ku brag na iyo science....
Walimu wenye weledi hatuna ndio maana masomo yanakua magumu...practical nyingi za physics tumesoma forging,yani unaambiwa kufanya real hutoboi sasa hapo siunakariri tu...Nimesoma biological science mwenyewe kwa kupekenyua between lines..Science sio ngumu wala nn.somo la kuumiza kichwa ni physics tu
 
Kaka hesabu hizi,ukichoka uniambie;
JNHP mafundi wapo site wanachapa kazi.
SGR na hii sio kama ile kerosene train ya pale kwenu,hii hamtowahi kumiliki.

Kigongo-busisi itakuwa longest bridge in east and central Africa apart from salender and kigamboni bridges in tz.

Ujenzi wa mji mpya wa dodoma-huu mji unajengwa kwa kuzingatia vigezo vyote vya kimataifa nahisi miaka 05 ijayo itakuwa inakimbizana na Nairobi.

Ujenzi wa BRT phase 3 ambayo pale kwenu ndio bado mnang'ang'ana nayo ata km 4 haifiki na
Nimetaja kwa uchache tu na uwa hatujisifu kama nyie kuanzia asubuhi mpaka jioni ni project moja tu yaani ata hamuoni aibu na shida zenu zimewajaa
Bongolala, project moja Kenya (Lapset) inashinda hizi takataka zote ulizotaja both in value and economic significance. Jitathmini
 
Toa tongo tongo kwanza


A market economy is an economic system where two forces, known as supply and demand, direct the production of goods and services. Market economies are not controlled by a central authority (like a government) and are instead based on voluntary exchange.

Jiulize wewe sasa km tz mpo wapi
Hivi wewe unajua maana ya neno "Economy", wacha kusoma vijarida vya "online" bila kuelewa maana yake.

Sasa kwenye hiyo "Market Economy" ni bidhaa au huduma gani inayozalishwa, "There is nor Economy if there is nor production of goods and or services".

Usichanganye Kati ya "type of Economies vs Systems of Economies".

Types of Economies.
1) Agriculture based
2)Industrial) Manufacturing based
3)Service based
4)Mixed/Combined

Systems of Economies
1) Capitalist
2)Socialist
3)Mixed
Subtypes
I)Free market economy
II)State controlled Economy
III)mixed/Combined
 
Mamaee, haya ndio maradhi ya kukesha twitter
Sukari inacheza 110 hapo wewe unakuja kuleta tweet zako za ajabu ajabu kw ajili ya political reasons..

Huwezi waelewa wakenya milele hko twitter mwisho utakua unajitesa mwnywe
Hata mimi nineshangaa bei ya sukari ilifika huko lini. Hata 2kg haijafika 250/- nashangaa kuonantu anasema 1kg ni 250/-!
 
Atake wapi qualification ndio zilizompiga chini
Wakati wa Magufuli kulikua na kitu kinaitwab"Half combination", kwa mfano badala ya kuchagua "PCM" ili uendelee na mlolongo wa A-level, unaweza kuchagua nusu yake ili update kuajiriwa mapema, unaweza kuchagua "PC " au PM, au CM lakini lazima usome "Education" yaani "teaching".

Kwahiyo unasoma Chemistry, Mathematics with Education, ukimaliza unapata Diploma ya hayo masomo mawili na unakuwa mwalimu, tofauti na yule aliyechukua "Full Combination": PCM, yeye akimaliza lazima aende chuo kabla ya kupata ajira.
 
WEE LMAVI HEBU SIKIZA....HUYU MAMAA ANA HEKIMA KUU SANA...FAIDA ZA WATU KAMA HAWA HUWA HAZIJI MARA MOJA TU...HUCHUKUWA MUDA..BUT NI FAIDA KUBWA SANA...BUT IT REQUIRES WISDOM NDIO MTU AELEWE MAMBO KAMA HAYA....IKIWA AKILI NI KAMA ZA KWAKO AISEEE HUTOSAIDIKA....UNAFIKIRIA KAMA JIWE
Faida kwa nyinyi wazanzibar siyo kwa wabara
 
Back
Top Bottom