Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilombera ikijengwa hvo naenda bucha mimi
maxresdefault(72).jpg
w222206_20455_unity-bridgeponte-da-unidadeumoja-wa-daraja_picture-taken-during-november-2011.JPG

Vidaraja vya hivyo vipo hadi porini asee 👇 Kilombero bridge
Magufuli bridge.jpeg
maxresdefault(86).jpg
1(10).jpg
kale ka dwarf bridge ka Mombasa hakitii nyao hapa
 
tulichoexport kenya nina uhakika ni sehem kubwa mfanyabiashara mtanzania moja kwa moja amefaidika.. lkn wakenya walivyoexport Tanzania nina uhakika ni viwanda vya wazungu.. sio mkenya moja kwa moja
au re-export ya vitu kama spareparts!
 
Hapo watapanga tofali mzee acha kujitoa ufahamu hapa
Mnajitia kujua oneni sasa, au unatala kusema zile ni pillars eee

NairobiWalker
Huyo siku hizi huwa sijishughulishi kumjibu. Yani ni moja ya wale jamaa you can't have a discourse with. Kuna mtu mnatofautiana maoni lakini unaona ana akili - huyu ni kama kubishana na mbuzi. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom