Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,791
Kilombera ikijengwa hvo naenda bucha mimi
Hii inaenda kumaliz mchezo within 2 years
View attachment 2116886
au re-export ya vitu kama spareparts!tulichoexport kenya nina uhakika ni sehem kubwa mfanyabiashara mtanzania moja kwa moja amefaidika.. lkn wakenya walivyoexport Tanzania nina uhakika ni viwanda vya wazungu.. sio mkenya moja kwa moja
Narudia tena, kilombero ikijengwa vile naenda buchaView attachment 2117107View attachment 2117112
Vidaraja vya hivyo vipo hadi porini aseeKilombero bridgeView attachment 2117146View attachment 2117148View attachment 2117150kale ka dwarf bridge ka Mombasa hakitii nyao hapa


ikishajengwa utaona tofauti,tuombee uzima nitakuwa wakwanza kukuonyesha utofauti tunaousemeaMkianza kuzijenga mtajipiga tu vifua. Si naona mmeanza kujipiga vifua juu ya flyover za tofali zenye mlikuwa mnaita ushamba tukijenga.
View attachment 2116377
Hakuna flyover ya matofali hapo ni zege limemiminwa hapo nje hizo squares ni urembo tuu.
'Know sleep happy" ndio nini?You'll not take me down the road of this kind of juvenile and childish arguments like this.
Alright you win Dodoma has 117km of dual carriage, hope you'll know sleep happy![]()
All in all kwa hili nimemkubali Uhuru, anajenga vibanda kadhaa aweke record ya kuwa amewajengea brt 😀. Kweli ukiiga tembo akinya utapasuka msamba
wacha kupoteza shughuli kwa kujifurahisha kitoto tafuta shughuli ya kufanya,,
waliuwa shirika kizembe sana,watakuwa wameziuza kimya kimyaHivi waungwana, haya madege yetu yako wapi asee.?Kumbe tulikua na madege ya maana tu Ila viongozi wa hovyo sujui wali yanywa mchuzi
, Ila hii midege ni midege ya kwendaView attachment 2116553View attachment 2116554View attachment 2116555View attachment 2116556View attachment 2116557View attachment 2116558View attachment 2116559
ushakimbia mzee wa PAX zee la mahela a.k.a chokoraa sugu mzee wa kujifurahisha for nothing
mpuuzi huyoSi ndiyo hii hapa, mbn unakuwa mjinga namna hyo au unadhani watu hawatagungua linkView attachment 2116578
Huu uchafu umeutoa wapi??The new Dodoma Ring Road Under Construction longest in East and Central Africa 😜😁😁
View attachment 2117002View attachment 2117003View attachment 2117005
Huyo siku hizi huwa sijishughulishi kumjibu. Yani ni moja ya wale jamaa you can't have a discourse with. Kuna mtu mnatofautiana maoni lakini unaona ana akili - huyu ni kama kubishana na mbuzi. 🤣🤣Hapo watapanga tofali mzee acha kujitoa ufahamu hapa
Mnajitia kujua oneni sasa, au unatala kusema zile ni pillars eee
NairobiWalker
We jamaa kumbe kuna mda unakua na akiliTzn sio Dar na Dodoma tuu.Sumbawanga town more than 1,200 km from Dar
View attachment 2117243
View attachment 2117244
View attachment 2117245
View attachment 2117246
View attachment 2117247
