Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi waungwana, haya madege yetu yako wapi asee.? 👇 Kumbe tulikua na madege ya maana tu Ila viongozi wa hovyo sujui wali yanywa mchuzi 😂😂, Ila hii midege ni midege ya kwendaView attachment 2116553View attachment 2116554View attachment 2116555View attachment 2116556View attachment 2116557View attachment 2116558View attachment 2116559
Kikwete ndo anaweza kutuambia hizi ndege alipeleka wapi,kama unakumbuka, JPM alisema kuna ndege ziliuzwa Kwa maadili,ndio hizi!
 
Hiki ndicho nilichokisema kwamba zile data ni za zamani ila mwanza ni kiboko aisee pale tu JNIA kuna ndege za atcl kama 5 per day zinaelekea Mwanza ikiwemo Airbus A220 inayoondoka kila siku alfajiri na huwa inajaa, hapo bado sijagusa precision air, ni hatari mzee achana na huyo mkunya mavi anayeangaika kupunguza data za Tz ili ajifurahishe.
 
Ss mbn unajiumbua, link yako hii hapa
Screenshot_20220212-001321.jpg
 
🇹🇿🇹🇿🙏
Top 10 Safest Countries In Africa To Visit 2022

1. Mauritius🇲🇺 (28th Globally)

2. Ghana🇬🇭 (38)

3. Botswana🇧🇼 (41)

4. Gambia🇬🇲 (53)

5. Tanzania🇹🇿 (58)

6. Malawi🇲🇼 (59)

7. Namibia🇳🇦 (65)

8. eSwatini🇸🇿 (69)

8. Madagascar🇲🇬 (70)

10. Zambia🇿🇲 (71)

Source: Global Peace Index
 
Kahamia kwenye kingereza kama kawaida yao kushobokea mali za watu, umepewa facts jibu kwa facts wacha kushobokea mali za watu utaolewa
Naona wamekutuma ujaribu kutetea Mwanza🤣🤣. For your information, Mwanza + Arusha = 1/2 Kisumu
 
Back
Top Bottom