Ntaghacha
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 1,412
- 4,122
Kikwete ndo anaweza kutuambia hizi ndege alipeleka wapi,kama unakumbuka, JPM alisema kuna ndege ziliuzwa Kwa maadili,ndio hizi!Hivi waungwana, haya madege yetu yako wapi asee.? 👇 Kumbe tulikua na madege ya maana tu Ila viongozi wa hovyo sujui wali yanywa mchuzi 😂😂, Ila hii midege ni midege ya kwendaView attachment 2116553View attachment 2116554View attachment 2116555View attachment 2116556View attachment 2116557View attachment 2116558View attachment 2116559


