Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Seacliff bongo
99347797.jpg
 
Dar es salaam na hili halina ubishi

Hehehe.
Hio fishing village yenu sijui kwanini huwa mwaiita jiji.
The day you realize Dar and Tanzania in general is a very insignificant country in Africa is the day you roll up your sleeves.
Nairobi pekee hutumia simiti mingi kila mwaka kuliko Tanzania mzima, na unajaribu kubishana ati Dar ina magorofa zaidi.
 
Hehehe.
Hio fishing village yenu sijui kwanini huwa mwaiita jiji.
The day you realize Dar and Tanzania in general is a very insignificant country in Africa is the day you roll up your sleeves.
Nairobi pekee hutumia simiti mingi kila mwaka kuliko Tanzania mzima, na unajaribu kubishana ati Dar ina magorofa zaidi.
Simiti mingi ndo nn? Usituongelee kijaluo hapa.

Nyie watu cement kwenu anasa, rangi na kunakshi majengo pia kwenu ni mwiko, umasikin unawatafuna sana, mnajengea mabat mabovu, simtanks, udongo, na mifuko.

Eti jiji lina minyumba ya udongo na minyumba ya mabati mabovu kibao, lol, zunguka dar nzima huwez kuta nyumba ya hvo, japo jiji halijapangika vzr baadhi ya maeneo ya makazi bt tunajua kutofautisha ujenz wa nyumba ya kuish binadam na ujenz wa mabanda ya mifugo sasa huko nairob huwez jua ni nyumba ya mtu au banda la nguruwe, poor u

Sent using Jamii Forums mobile app
 
f2b8627b59bd1c3e1c2db76c1866e0ee.jpg

[quote uid=427015 name="COLLOH-MZII RELOADED" post=20616291][/QUOTE][quote uid=396713 name="Edward Wanjala" post=20608741][/QUOTE][quote uid=434933 name="El Matador" post=22704241][/QUOTE][quote uid=420669 name="BlietzKrieg" post=22704400][/QUOTE][quote uid=426407 name="Lewis254" post=22711598][/QUOTE][quote uid=81155 name="kennedy0000" post=22718808][/QUOTE]
f2b8627b59bd1c3e1c2db76c1866e0ee.jpg

nawatakia wakenya uchaguzi wa amani katika wakati wote wa zoezi la kupiga kura,kuhesabu kura na kutangaza matokeo.

NB: azam tv (the BBC or CNN or aljazeera of east africa) imeweka kambi maeneo mbalimbali nchini kenya katika kuleta matangazo "mbashara" (live) ya uchaguzi.nipo hapa nafatilia kila kinachojiri via azam tv.
e8cf7d1279f8189f03e0056338feff23.jpg
66b2dceb6cef2d7eb8595463a5e6f487.jpg
216ada634133b251c2a8f574bc98b529.jpg
8b1ac6284ab93a630c0f286dd54869d6.jpg
2ca8ab4af4a9ffa9f809ea47acc0e132.jpg
 
Hehehe.
Hio fishing village yenu sijui kwanini huwa mwaiita jiji.
The day you realize Dar and Tanzania in general is a very insignificant country in Africa is the day you roll up your sleeves.
Nairobi pekee hutumia simiti mingi kila mwaka kuliko Tanzania mzima, na unajaribu kubishana ati Dar ina magorofa zaidi.
Nairobi this nairobi that lol,ur dead weight

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nairobi 10 per cent ndio ovyo....
Na flyover sio interchange wewe mbongo
Kibera is the Second Largest Slum in the Universe,
And of Course Largest in Africa with over 2.5 million residents (60% of City population) in 200000 settlements,
But there are many other slums along with Kibera. Like mathare, Dondora, Huruma, Kariobangi,.
Na haya ndiyo matunda ya Ubepari

tapatalk_1491373529555.png

Please stop consoling yourself with some carefully selected photos posted by Edward Wanjala and his cheerleaders in here.
 
Mko mbele bila fact....
city si maghorofa pekee kaka...rudi shule please
Dogo umebaki pekeyako unapiga yowe. Thanks at least umeanza kuadmit kwenye kipengele cha Maghorofa. Hapo Nai imechapwa 10 nil
Sasa tuhamie kwenye Usafiri wa Umma, Usafi wa Mji, Huduma za Jamii, Starehe n.k
Let's go boy..


While you and your fellow Kenyans gets a wonderful experience on Bug Bites, Thugs and Everlasting traffic jams, in your Dirty matatu, Here is where Dar is heading today.
The city must have a well organised public transport system ..
tapatalk_1502106005367.jpeg
tapatalk_1501212825965.jpeg
IMG_20170602_230052.jpg
IMG_20170706_172456.jpg
IMG_20170716_084913.jpg
 
Simiti mingi ndo nn? Usituongelee kijaluo hapa.

Nyie watu cement kwenu anasa, rangi na kunakshi majengo pia kwenu ni mwiko, umasikin unawatafuna sana, mnajengea mabat mabovu, simtanks, udongo, na mifuko.

Eti jiji lina minyumba ya udongo na minyumba ya mabati mabovu kibao, lol, zunguka dar nzima huwez kuta nyumba ya hvo, japo jiji halijapangika vzr baadhi ya maeneo ya makazi bt tunajua kutofautisha ujenz wa nyumba ya kuish binadam na ujenz wa mabanda ya mifugo sasa huko nairob huwez jua ni nyumba ya mtu au banda la nguruwe, poor u

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha haha.
Hahahahaha
Majamaa yanaishi kwenye nyumba za Mifugo
 
f2b8627b59bd1c3e1c2db76c1866e0ee.jpg

[quote uid=427015 name="COLLOH-MZII RELOADED" post=20616291][/QUOTE][quote uid=396713 name="Edward Wanjala" post=20608741][/QUOTE][quote uid=434933 name="El Matador" post=22704241][/QUOTE][quote uid=420669 name="BlietzKrieg" post=22704400][/QUOTE][quote uid=426407 name="Lewis254" post=22711598][/QUOTE][quote uid=81155 name="kennedy0000" post=22718808][/QUOTE]
f2b8627b59bd1c3e1c2db76c1866e0ee.jpg

nawatakia wakenya uchaguzi wa amani katika wakati wote wa zoezi la kupiga kura,kuhesabu kura na kutangaza matokeo.

NB: azam tv (the BBC or CNN or aljazeera of east africa) imeweka kambi maeneo mbalimbali nchini kenya katika kuleta matangazo "mbashara" (live) ya uchaguzi.nipo hapa nafatilia kila kinachojiri via azam tv.
e8cf7d1279f8189f03e0056338feff23.jpg
66b2dceb6cef2d7eb8595463a5e6f487.jpg
216ada634133b251c2a8f574bc98b529.jpg
8b1ac6284ab93a630c0f286dd54869d6.jpg
2ca8ab4af4a9ffa9f809ea47acc0e132.jpg
 
Hehehe.
Hio fishing village yenu sijui kwanini huwa mwaiita jiji.
The day you realize Dar and Tanzania in general is a very insignificant country in Africa is the day you roll up your sleeves.
Nairobi pekee hutumia simiti mingi kila mwaka kuliko Tanzania mzima, na unajaribu kubishana ati Dar ina magorofa zaidi.
So unabisha au unapinga????
😀😀😀😀😀😀 nairobi hutumia cement kuliko tanzania nzima hahah umekula kweli😛😛
Kumbuka hii sio nairaland hii jamii forum
 
Dogo umebaki pekeyako unapiga yowe. Thanks at least umeanza kuadmit kwenye kipengele cha Maghorofa. Hapo Nai imechapwa 10 nil
Sasa tuhamie kwenye Usafiri wa Umma, Usafi wa Mji, Huduma za Jamii, Starehe n.k
Let's go boy..


While you and your fellow Kenyans gets a wonderful experience on Bug Bites, Thugs and Everlasting traffic jams, in your Dirty matatu, Here is where Dar is heading today.
The city must have a well organised public transport system ..
View attachment 560917View attachment 560918View attachment 560919View attachment 560920View attachment 560921
ujue hawa hawajui hata robo ya plan zilizoandaliwa na kutekelezwa kwa hapa dar......

wanafikra mgando sana hawa wakenya hawajui kama tumetoka wanapopafikiria na tunapaacha kabisa
 
So unabisha au unapinga????
😀😀😀😀😀😀 nairobi hutumia cement kuliko tanzania nzima hahah umekula kweli😛😛
Kumbuka hii sio nairaland hii jamii forum
na tukiamua soon tunaingia kwenye forum zao kuwachangamsha.......maana hawa wakenya naona hawatujui wabongo vizuri
 
ujue hawa hawajui hata robo ya plan zilizoandaliwa na kutekelezwa kwa hapa dar......

wanafikra mgando sana hawa wakenya hawajui kama tumetoka wanapopafikiria na tunapaacha kabisa
Jana nimepita pale JNIA,
Aisee ile kitu ikiisha hatutashindana na hawa maskini tena.
And I am sure hadi mwaka 2020 heshima tutakuwa tunapeana .
 
Back
Top Bottom