Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hongera serikali ya kikwete kwa kujenga TPA na pspf watu hapa wangekosa cha kupost

sent from iPhone 7
Pole Mzee wa Iphone7 hayo maghorofa si kitu kwetu kuna mambo makubwa zaidi punde yakikamilika.....mbona mtajuta mpaka basi......yaani mtaisoma namba na herufi how T is better than K....

kwa bongo KE ni mwanamke so nyie waKENYA ni wachumba sana kwetu..

Tanzania ni MME wenu[emoji31] [emoji40] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pole Mzee wa Iphone7 hayo maghorofa si kitu kwetu kuna mambo makubwa zaidi punde yakikamilika.....mbona mtajuta mpaka basi......yaani mtaisoma namba na herufi how T is better than K....

kwa bongo KE ni mwanamke so nyie waKENYA ni wachumba sana kwetu..

Tanzania ni MME wenu[emoji31] [emoji40] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23]
 
kwa akili zako tano....dar is well planned?
hilo halina ubishi na kadri siku zinavyozidi kusonga ndiyo balaa linazidi kuwauwauwa kiukweli NAIROBI ni level ndogo sana kwa kuilinganisha na dar.....kuna vitu vingi sana tumewaacha na hii level ya dar hamtoigusa milele mlipata chance wakati tunapambana vita na ile system ya baba yetu wa taifa J.K.NYERERE ya kuwatimua wazungu wanaoibeba hiyo nairobi mpaka leo ila kwa sasa.......mpumzike tu

Nyie ni old CHAMPION
 
It's gold for Kenya again! Faith Kipyegon takes gold in the 1500m 4:02.59! [HASHTAG]#IAAFworlds[/HASHTAG] twitter.com
 
nairobi slums ziko sehemu ndogo sana...
mkituma mapicha za sehemu ndogo mbovu inaonyesha vile mko wapumbavu.
unajua maana ya ndogo wewe au inaropoka tu....na haipo moja.......usilete ushamba......hiyo city ni pori japo mnayaficha maeneo mengi sana na mshukukuru sana Photo za Kurepresent City zipo owned by governent so vingi vinafichwa kwenye hizo photo map zenu.....ila la sivyo mngeumbuka sana

picha nyingi za nairobi hazina uhalisia[emoji40] [emoji40] [emoji23] [emoji23]
 
Mko mbele bila fact....
city si maghorofa pekee kaka...rudi shule please
kuna vitu bila shule vinaenda ndiyo maana marich wengi wanaoongoza hii dunia hawapo na elimu kubwa......ila asilimia kubwa ya maskini ndiyo wamesoma wakitegemea kuajiriwa mfano mzuri wewe i think wewe ni so poor n stupid kenya

shule ni extra guard.....r.i.p bro[emoji24] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
most of these dar is slum people are not exposed . ....Just ignore their stupidity
ndiyo ni slum wewe shida yako ni nini sasa.......iache dar i chill kwa upande wake na wewe utulie na upande wako sababu hauna faida kwetu na hata kwenye nchi yako hauna faida bora uishi msituni kama nyani[emoji40] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
most of these dar is slum people are not exposed . ....Just ignore their stupidity
e6d3e2034023a6dfb0e1efdf657b3615.jpg
El matador amevunja kabati[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa ajili ya uchaguzi
 
ndiyo ni slum wewe shida yako ni nini sasa.......iache dar i chill kwa upande wake na wewe utulie na upande wako sababu hauna faida kwetu na hata kwenye nchi yako hauna faida bora uishi msituni kama nyani[emoji40] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Achana nae huyo ameridhika kupanga chumba na sebure
 
Back
Top Bottom