Maana kuna source za nasa wamesema matokeo wanayo na kua nasa kwa namna yoyote lazma ishinde kwasababu majimbo makubwa yote ya nasa hayajaguswa bado na ukizingatia nimeona kama gap ya 10% tummh!...sidhani aisee...kwa matokeo yanayo onekana citizen tv,kuna kila dalili uhuru kushinda uchaguzi na kuwa rais wa kenya kwa mara ya pili.
swali ni je,watu wa muungano wa NASA watakubali matokeo?....raila atakubali matokeo?.
hapo ndio kwenye taharuki kubwa inayosababisha baadhi ya wakenya kukimbilia tz kutafuta hifadhi ya muda.
kwa uchaguzi wa kenya suala muhimu sio zoezi la kupiga kura pekee,pia ni namna mpinzani atakavyo pokea matokeo na outcome yake endapo atayakataa.
This is pathetic you should tune in to citizen of k24...presenters wanakaa wakulima.
Tafuta facts msee...Raila po Box Bondo siaya countyMaana kuna source za nasa wamesema matokeo wanayo na kua nasa kwa namna yoyote lazma ishinde kwasababu majimbo makubwa yote ya nasa hayajaguswa bado na ukizingatia nimeona kama gap ya 10% tu
😀😀😀😀😀 azam ndio kiboko ya east and central africa hakuna mjadalaThis is pathetic you should tune in to citizen of k24...presenters wanakaa wakulima.
How can you use a Biro while kuna iPad or tablets......then earphones ya tecno??????????
Kutoka Leo naidharau azam
sent from iPhone 7
Sijaona majimbo ya nasa makubwa yakitajwa bado mm nakwambia uhuru kenyatta akilazmisha madaraka analala the hegue hawatamuacha maana lazma vita vitazuka kenyaTafuta facts msee...Raila po Box Bondo siaya county
![]()
sent from iPhone 7
Acha kuwatch ikae kama iyo ndio babayao😀😀😀😀😀 azam ndio kiboko ya east and central africa hakuna mjadala
Azam tv moto wa kuotea mbali na pia sumu kwa wakenya😀😀😀😀😀😀Acha kuwatch ikae kama iyo ndio babayao
sent from iPhone 7
Sawasawa good nyt...Azam tv moto wa kuotea mbali na pia sumu kwa wakenya😀😀😀😀😀😀
Poa nakukaribisha tz endapo vita vikizukaSawasawa good nyt...
sent from iPhone 7
😀😀😀😀😀😀😀😀Vita zinaanzishwa na mamako?
sent from iPhone 7
hawa ni veterinary officers au ??? hata pesa iwezi wafanya wang'are... wako tinted mbaya
hao ni wakenya wenzenu .....tumewapa ajira....This is pathetic you should tune in to citizen of k24...presenters wanakaa wakulima.
How can you use a Biro while kuna iPad or tablets......then earphones ya tecno??????????
Kutoka Leo naidharau azam
sent from iPhone 7