Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

f1b80e7f2f8eff07811151128aeaf569.jpg
 
mmh!...sidhani aisee...kwa matokeo yanayo onekana citizen tv,kuna kila dalili uhuru kushinda uchaguzi na kuwa rais wa kenya kwa mara ya pili.

swali ni je,watu wa muungano wa NASA watakubali matokeo?....raila atakubali matokeo?.

hapo ndio kwenye taharuki kubwa inayosababisha baadhi ya wakenya kukimbilia tz kutafuta hifadhi ya muda.

kwa uchaguzi wa kenya suala muhimu sio zoezi la kupiga kura pekee,pia ni namna mpinzani atakavyo pokea matokeo na outcome yake endapo atayakataa.
Maana kuna source za nasa wamesema matokeo wanayo na kua nasa kwa namna yoyote lazma ishinde kwasababu majimbo makubwa yote ya nasa hayajaguswa bado na ukizingatia nimeona kama gap ya 10% tu
 
Maana kuna source za nasa wamesema matokeo wanayo na kua nasa kwa namna yoyote lazma ishinde kwasababu majimbo makubwa yote ya nasa hayajaguswa bado na ukizingatia nimeona kama gap ya 10% tu
Tafuta facts msee...Raila po Box Bondo siaya county
c2005aff4addbdc847c135b34105008c.jpg


sent from iPhone 7
 
This is pathetic you should tune in to citizen of k24...presenters wanakaa wakulima.
How can you use a Biro while kuna iPad or tablets......then earphones ya tecno??????????
Kutoka Leo naidharau azam

sent from iPhone 7
😀😀😀😀😀 azam ndio kiboko ya east and central africa hakuna mjadala
 
This is pathetic you should tune in to citizen of k24...presenters wanakaa wakulima.
How can you use a Biro while kuna iPad or tablets......then earphones ya tecno??????????
Kutoka Leo naidharau azam

sent from iPhone 7
hao ni wakenya wenzenu .....tumewapa ajira....

na kingine mzee wa iphone7 hivyo ni vitu vya kawaida sana watu wanakaa na nokia torch kikubwa hapo ni kufikisha taarifa tu vingine mbwembwe tu.....ila hao ni wakenya wenzenu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom