Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
ndio maana nakuambia tumezoeana sana hadi mnadhani dar na Nbo ni rika moja. usione bullet train inakaa kichwa cha nyoka ikakuzinguaJiulize mna nn cha kuwafanya watu waelewe unayoyasema...lol kwa picha mkizotuma tangu January hadi Leo nairobi ni dar tu mnatuzidi barabara na vidaraja viwili vitatu
Sent using Jamii Forums mobile app