Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo barabara ni aibu kwenu mtachekwa africa nzima mchina anakwenda kuikolonaizi kenya ,nashangaa wakenya mnapata wapi moyo wa kuishabikia hiyo barabarandiyo maana komora096 sijawai kumuona akiongelea wala kushabikia hiyo barabara ya kulipia mali halali ya mchina
oya wee bichi kidimbwi hebu skiza bana...hakuna project yoyote hukosa kulipiwa...Hpa ni plus kwa kenya kwa sababu gani?....hatutumii pesa zetu kama nchi...baada ya 27 years barbara itakuwa free for all...for now jamaa watakusanya hela zao walizozitumia...halafu baada ya 27 years warudi zao..

  1. muda wote huu mchina ataajiri wakenya hapo wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi...faida kwa kenya
  2. muda wote huu ushuru utatozwa....faida kwa kenya
  3. barbara imeirembesha kenya zaidi.....faida kwa kenya
  4. Bara bara itapunguza msongamano pakubwa na kuimarisha uchumi....faida kwa kenya
  5. Sio kila mkenya atailipia barbara hii, ila wanao itumia tu.....faida kwa kenya
  6. Baada ya 27 years ..mchina ataenda zake iwe amepata faida au la....ffaida kwa kenya
HIVI TZ JIULIZENI ..MBONA MCHINA AGHARAMIKE KWA MRADI HUUKENYA....BECAUSE KENYA HAS POTENTIAL...HATA NA DAWA HUWEZI PATA MRADI KAMA HUU TZ LABDA BAADA YA 50 YEARS TOKEA SAHII
 
Screenshot_2022-02-04-09-16-53-71.png



Screenshot_2022-02-04-09-16-47-47.png




Screenshot_2022-02-04-08-57-33-26.png



Screenshot_2022-02-04-09-14-55-92.png



Screenshot_2022-02-04-09-15-20-66.png



Screenshot_2022-02-04-09-10-45-11.png



Screenshot_2022-02-04-09-03-26-16.png



Screenshot_2022-02-04-09-02-11-11.png


Screenshot_2022-02-04-09-16-39-55.png


Screenshot_2022-02-04-09-01-12-51.png


Screenshot_2022-02-04-08-58-12-38.png


Screenshot_2022-02-04-09-15-12-50.png
 
WATANZANIA KUTOKANA NA HIZO PICS HAPO JUU,,,SASA NAJUA MNAELEWA MBONA KENYA TUNAITWA EAST AND CENTRAL AFRICA SUPER POWER
 
Back
Top Bottom