pofy gia
Senior Member
- Jul 9, 2016
- 126
- 245
mchina tena kweli hamna pa kutokeaKwa hiyo madaraja, sgr, brt, mashule etc sio zenu sababu ni aid?wacha kutumia kichwa kama roundabout ya upepo View attachment 2105867







mchina tena kweli hamna pa kutokeaKwa hiyo madaraja, sgr, brt, mashule etc sio zenu sababu ni aid?wacha kutumia kichwa kama roundabout ya upepo View attachment 2105867







we mbwa nakusubiri ulete miradi ya serikali yenu na sio kuniletea barabara za mchina atazomiliki kwa miaka 100 huku vitukuu vyenu vikilipa tozoKwa hiyo madaraja, sgr, brt, mashule etc sio zenu sababu ni aid?wacha kutumia kichwa kama roundabout ya upepo View attachment 2105867





True🔥🔥🔥
What are these?Infact Mombasa has around 8 bridges
4. Nyali bridge
View attachment 2105664
5. KPA Kipevu bridge
View attachment 2105665
6. CFS Kibarani bridge
View attachment 2105669
7. Liwatoni bridge
View attachment 2105671
8. Likoni bridge(U/C.
View attachment 2105672
Watz oneni bridges hukuInfact Mombasa has around 8 bridges
4. Nyali bridge
View attachment 2105664
5. KPA Kipevu bridge
View attachment 2105665
6. CFS Kibarani bridge
View attachment 2105669
7. Liwatoni bridge
View attachment 2105671
8. Likoni bridge(U/C.
View attachment 2105672






Aisee huyu jamaa picha moja hyo hyo kuanzia asubuhi mpaka usiku, akibadili anamsema Magu, mwendo ni huohuo expressway akibadili anamsema Magu, upumbavu gani huuu?Tulia mzeeView attachment 2105858
Upuuzi kama huu wa hayo marangi ya nyagau hatujapenda kbs ondoa hiyo nyekunduWhat are these?View attachment 2105880
sa wewe unahitaji thibitisho gani ingine mbali na map....kilicho baki sasa ni ukaidi wako na upumbavu...hapo sasa hatuwezi kukusaidia..ikiwa nairobi ina watu 4 million itakuwaje watu 2 million waishi hapo....bichi kidimbwi weweWachana na aibu ndogondogo, kwaiyo unafrai 2millions of kunyans kuishi kwaicho kisehem kidgo? Pia kenya inaslums za kutoshaa wachwna nakibera tuuu mnazoo kama zote
We mmakunduuchi msalimie mjambiani mpumbavu mwambie tunampenda sana ,ila kile kisa cha m bara buricheka ambacho wagagagigi koko mlimfanyia huko zenji baada ya meli kuzama na buricheka kujiokoa kwa kudandia meza iliyo mfikisha visiwani ,hatuta wasahau vituko vyenu kwa buricheka nusu mumtoe rohoOpportunity cost yupo na siyo Mimi sijawahi badili identity,jiepusheni kukoment negatively or positively kwenye vitu msivyovijua, mliongea mengi kilipooneshwa kile kichwa baada ya kujua matumizi mmepoteana,wengine tulitulia kusubiri maarifa zaidi.No research No right to speak.
Wapemba wanazungusha makalio hadi kigoma wapo na wengine ni machifu mafiii huku bara au ujuiNjombe kuna wapemba siku hizi![]()
Waambie bro....zile za kwao ni bichi vidi....mbwisasa 100m nnn?. hii ina stretch 27km nonstop na hatupigi mayowe View attachment 2104032
Kama siyo kifo cha GREAT JPM HADI SASA 2022 TUNGEKUWA TUMEFIKA MAITAJI YA CEMENT MAKUBWA SANA MAANA JAMAA ALIKUWA ANA JENGA USIKU NA MCHANA VITU VYA KILA AINA VYUO MIJI MIPYA ,BUS TERMINAL, NEW BRIDGE ,VIWANJA VYA NDEGE ,VIWANJA VYA MPIRA ,NKInawezekana mumetushinda kwenye production ila bado production yenu haijafika 11 million MT. Either way, hata kama mumetushinda, sio kwa mbali kama wanavyosema eti 11 million MT. Nyie pengine mnaproduce 8 au 9 million MT wakati Kenya tunaproduce 7 million MT. Tofauti ni kidogo sana japo nakubali inawezekana kwamba mumetupiku.
Hiyo barabara ni aibu kwenu mtachekwa africa nzima mchina anakwenda kuikolonaizi kenya ,nashangaa wakenya mnapata wapi moyo wa kuishabikia hiyo barabarawengine bado wanangoja construction board ndio waamini expressway inajengwa

ndiyo maana komora096 sijawai kumuona akiongelea wala kushabikia hiyo barabara ya kulipia mali halali ya mchinaHUU MRADI UNAITWA PPP..PRIVATE PUBLIC PARTNERSHIP...MIRADI KAMA HII MTAKUJA IFANYA 2050...SAHII BADO NI KIZUNGU MKUTI....nI WAKENYA TUPU WATAKUWA WANAFANYA KAZI HAPO....USHURU TUTAPATA HAPO, SUPPLIERS WATA FAIDIKIA HAPO.NI WAKENYA WATAENDESHEA MAGARI YAO HAPO...BARA BARA IPO KENYA, KENYA INAONEKANA SMART....Hiyo barabara ni aibu kwenu mtachekwa africa nzima mchina anakwenda kuikolonaizi kenya ,nashangaa wakenya mnapata wapi moyo wa kuishabikia hiyo barabara
Kituko