Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Westlands alone is more developed than Dar is slum.



View attachment 2105733
True🔥🔥🔥
Screenshot_20220131-224402~2.png
 
Sa
Wachana na aibu ndogondogo, kwaiyo unafrai 2millions of kunyans kuishi kwaicho kisehem kidgo? Pia kenya inaslums za kutoshaa wachwna nakibera tuuu mnazoo kama zote
sa wewe unahitaji thibitisho gani ingine mbali na map....kilicho baki sasa ni ukaidi wako na upumbavu...hapo sasa hatuwezi kukusaidia..ikiwa nairobi ina watu 4 million itakuwaje watu 2 million waishi hapo....bichi kidimbwi wewe
 
Opportunity cost yupo na siyo Mimi sijawahi badili identity,jiepusheni kukoment negatively or positively kwenye vitu msivyovijua, mliongea mengi kilipooneshwa kile kichwa baada ya kujua matumizi mmepoteana,wengine tulitulia kusubiri maarifa zaidi.No research No right to speak.
We mmakunduuchi msalimie mjambiani mpumbavu mwambie tunampenda sana ,ila kile kisa cha m bara buricheka ambacho wagagagigi koko mlimfanyia huko zenji baada ya meli kuzama na buricheka kujiokoa kwa kudandia meza iliyo mfikisha visiwani ,hatuta wasahau vituko vyenu kwa buricheka nusu mumtoe roho
 
Inawezekana mumetushinda kwenye production ila bado production yenu haijafika 11 million MT. Either way, hata kama mumetushinda, sio kwa mbali kama wanavyosema eti 11 million MT. Nyie pengine mnaproduce 8 au 9 million MT wakati Kenya tunaproduce 7 million MT. Tofauti ni kidogo sana japo nakubali inawezekana kwamba mumetupiku.
Kama siyo kifo cha GREAT JPM HADI SASA 2022 TUNGEKUWA TUMEFIKA MAITAJI YA CEMENT MAKUBWA SANA MAANA JAMAA ALIKUWA ANA JENGA USIKU NA MCHANA VITU VYA KILA AINA VYUO MIJI MIPYA ,BUS TERMINAL, NEW BRIDGE ,VIWANJA VYA NDEGE ,VIWANJA VYA MPIRA ,NK
 
wengine bado wanangoja construction board ndio waamini expressway inajengwa
Hiyo barabara ni aibu kwenu mtachekwa africa nzima mchina anakwenda kuikolonaizi kenya ,nashangaa wakenya mnapata wapi moyo wa kuishabikia hiyo barabarandiyo maana komora096 sijawai kumuona akiongelea wala kushabikia hiyo barabara ya kulipia mali halali ya mchina
 
Hiyo barabara ni aibu kwenu mtachekwa africa nzima mchina anakwenda kuikolonaizi kenya ,nashangaa wakenya mnapata wapi moyo wa kuishabikia hiyo barabara
HUU MRADI UNAITWA PPP..PRIVATE PUBLIC PARTNERSHIP...MIRADI KAMA HII MTAKUJA IFANYA 2050...SAHII BADO NI KIZUNGU MKUTI....nI WAKENYA TUPU WATAKUWA WANAFANYA KAZI HAPO....USHURU TUTAPATA HAPO, SUPPLIERS WATA FAIDIKIA HAPO.NI WAKENYA WATAENDESHEA MAGARI YAO HAPO...BARA BARA IPO KENYA, KENYA INAONEKANA SMART....
wACHENI WIVU WATANZANIA.
 
Back
Top Bottom