Kuna kitu kimoja nimejifunza hapa na nadhani na nyie mnahitajika kujifunza
Chukua mfano south Africa ya miaka ya 90 na ya sasa,
Nairobi haibadiliki, iko vilevile ila dsm inabadilika kila kukicha, nairobi ni mji wa kitalii ndio maana miaka ya nyima ilijengwa sana ili kuvutia watalii zaidi, but dsm ni mji wa biashara, ukilinganisha dsm ya mwaka 1990 na nairobi ya 1990 ni sawa kusema nairobi ilikuwa juu sana ila ukizungumzia dsm ya 2017 na nairobi ya 2017 dsm imeiacha mbali sana naii, nairobi mpk leo wanazungumzia matatu, yani daladala wakati dsm tunazungumzia brt tumeshaachana na daladala, nairobi wanazungumzia highways, dsm inazungumzia flyovers, ndio maana nikasema nairobi imebakia palepale ilipo wakati dsm kila sekunde inabadilika, so wanairobi acheni kukariri nendeni kwa facts, hata binti akiwa bikra ipo siku atazeeka tuu
From Kigamboni by indaressalaam, on Flickr
From Kigamboni by indaressalaam, on Flickr
From Kigamboni by indaressalaam, on Flickr
From Kigamboni by indaressalaam, on Flickr
From Kigamboni by indaressalaam, on Flickrumewauwa.....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna kitu kimoja nimejifunza hapa na nadhani na nyie mnahitajika kujifunza
Chukua mfano south Africa ya miaka ya 90 na ya sasa,
Nairobi haibadiliki, iko vilevile ila dsm inabadilika kila kukicha, nairobi ni mji wa kitalii ndio maana miaka ya nyima ilijengwa sana ili kuvutia watalii zaidi, but dsm ni mji wa biashara, ukilinganisha dsm ya mwaka 1990 na nairobi ya 1990 ni sawa kusema nairobi ilikuwa juu sana ila ukizungumzia dsm ya 2017 na nairobi ya 2017 dsm imeiacha mbali sana naii, nairobi mpk leo wanazungumzia matatu, yani daladala wakati dsm tunazungumzia brt tumeshaachana na daladala, nairobi wanazungumzia highways, dsm inazungumzia flyovers, ndio maana nikasema nairobi imebakia palepale ilipo wakati dsm kila sekunde inabadilika, so wanairobi acheni kukariri nendeni kwa facts, hata binti akiwa bikra ipo siku atazeeka tuu
Kumbuka Nai haijaifikia Pretoria,cape town,Durban kwa lolote ,Dar ofcz siwez sema ni beauty as far as bado kuna changamoto nyingi, but dar is developing, Ukweli Ni kwamba Dar inakua kwa kasi zaidi ya Nai, Nai inakua kwa kasi baada ya Dar , Kusema Nai ipo nyuma ya jozi na Cairo ni kujipumbaza tu sio ukweli. ...infact Nai inatuzidi miundombinu kadhaa ambayo ipo tayar inafanyiwa kazi. ..Basing on reality Nairobi and Dar are all developing cities, we have not attained developed city status yet!!
Sent using Jamii Forums mobile app
The only city that beats Nairobi ni Jo'burg pekee yake!!!Kumbuka Nai haijaifikia Pretoria,cape town,Durban kwa lolote ,Dar ofcz siwez sema ni beauty as far as bado kuna changamoto nyingi, but dar is developing, Ukweli Ni kwamba Dar inakua kwa kasi zaidi ya Nai, Nai inakua kwa kasi baada ya Dar , Kusema Nai ipo nyuma ya jozi na Cairo ni kujipumbaza tu sio ukweli. ...infact Nai inatuzidi miundombinu kadhaa ambayo ipo tayar inafanyiwa kazi. ..Basing on reality Nairobi and Dar are all developing cities, we have not attained developed city status yet!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Durban na Pretoria arent more developed than Nairobi. ... .
The only city that beats Nairobi ni Jo'burg pekee yake!!!
dar inakuwa kwa kasi na hata uchumi wa tz pia unakuwa kwa kasi mno.... but that does not mean Nairobi au Kenya iko stagnant. once ii ikikuingia akilini, hautawail weka daris slum na Nairobi kwa sentensi moja.






No one is jealous of you.apart from you jealous Tanzanians no normal person can dispute Nairobi's dominance in the region. .... hata list unasoma vice versa. .... Lol. Nairobi has like 50 flyovers and footbridges. ... ..tembea ujionee. .. ..not your usual "Nairobi napajua lies "
Are you even serious?
Wewe chang'aa itakuwa imekushika.The only city that beats Nairobi ni Jo'burg pekee yake!!!
dar inakuwa kwa kasi na hata uchumi wa tz pia unakuwa kwa kasi mno.... but that does not mean Nairobi au Kenya iko stagnant. once ii ikikuingia akilini, hautawail weka daris slum na Nairobi kwa sentensi moja.
So in short that means weve learned our lesson after 2007,ama watu waoga kupigana do u think they can fight really
Sent using Jamii Forums mobile app
on a serious note,we are praying for you guys to have a very peaceful election during the voting process,vote countingBREAKING NEWS: YOU CAN TAKE THIS TO THE BANK, THERE WILL BE PEACE AFTER ELECTIONS WALE WATANZANIA WANATUOTEA TUPIGANE THEY STEAL OUR MARKET YOU WILL BE VERY DISSAPOINTED
Sent using Jamii Forums mobile app