The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Sasa unanililia mm ndiye niliyesababisha nchi yenu iwe hatari?Mibongolala bana...sasa security threat ni kitu ya kushabikia??
Sasa unanililia mm ndiye niliyesababisha nchi yenu iwe hatari?Mibongolala bana...sasa security threat ni kitu ya kushabikia??
keep dreaming! mention them...!Kisumu has more 4 start hotels than Mwanza.
Acacia Hotelkeep dreaming! mention them...!
Nimekuelewa sana tuu.Ndio maana nikaamua kukaa kimya.Ungekwa na eulewa kuliko hiyo yenye uko nayo, ungeelewa nolichojaribu kumaanisha. Unfortunately you don't
🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani me mwenyewe nacheka mpaka saivi 😂😂😂😂Nimecheka sana dah, yaani nchi nzima wamelishana matango pori [emoji3][emoji3][emoji3]
Nchi nzima imeingia chaka
Why are you exposing your stupidity 😂😂😂kuna siku wakunya walisifia sijui bendera ile au sijui nn ile eti imepostiwa kwenye hili jengo.. kumbe walilipa[emoji23][emoji23] ujinga tu
View attachment 2099690
Rites walikodishiwa behewa za TRC duniani kote reli huvunjwa katika sehemu 3 njia ya reli, signalling na rolling stock. Sasa njia ya reli na signalling ni vya serikali ila kila mtu anauwezo wa kuweka rolling stock zake juu ya hiyo reli na tukashindana pamoja na TRC katika kutoa huduma. Na mtindo huu haushii kwenye reli tuu hata kwenye umeme kuna generation, transmission na distribution sasa unaweza ukawa na distributers wa umeme wengi ambao wanashindana kutoa huduma bora kwa faida ya mteja. Distributers kazi yao kuuza umeme kwa wateja na kulipia gharama za generation na transmission hivyo hivyo kwenye reli naweka vichwa vyangu na mabehewa yangu natoa huduma kwa wateja halafu nalipia kutumia njia ya reli na gharama za signallingKwani RITES ile ya India ilikuja na behewa? Si tuliipa kila kitu chetu
We acha ubishi mkaka sijui mdada.Dar hakuna green spaces na leafy suburbs kama za Nairobi and that's why mkiona picha za leafy suburbs za Nairobi you console yourselves by saying Nairobi ni misitu. Kitu hamjui ni kwamba chini ta hizo "misitu" as you call it ni nyumba za Kiana.
And then we all know your best neighbourhoods can't come close to our best neighbourhoods. Masaki yenyewe ni apartments kushoto kulia na ndio mtaa WA kifahari kuliko zote Dar and Tanzania at large. You can't get apartments in places like Muthaiga, Runda, Karen, Loresho, Kyuna, Gigiri and such places.
Acha ushamba wewe hapo maeneo mengi kama city center, nyegezi, isamilo na mengineo mengi hayapo kwenye hiyo picha.DON, hebu ntoo uone hii.. eti this is the entire mwanza town [emoji38][emoji38]
nimecheka yangu yote[emoji38][emoji38]
View attachment 2099629
Acha uwehu nimekuandikia in simple lay man terms. Labda ni seme the difference is statistically insignificant.Who lied to you that poverty levels in Africa are the same? There are 28 million people living in extreme poverty in Tanzania. This is not the same case with SA or Kenya for instance
ishu sio kuonyeshwa.. ishu ni mlisema hao waarabu waliiweka hio kwa mapenzi yao wenyewe.. kumbe mmelipia, that thing is never free.. acheni ujinga