Kwani kaongea uongo? Ramps kama za kupita delivery vansI realized your Intelligent Quotient is abit low,so I'll decide to just ignore your reply.
Kwani kaongea uongo? Ramps kama za kupita delivery vansI realized your Intelligent Quotient is abit low,so I'll decide to just ignore your reply.
State of poverty in all african countries is the same. Yes we have gravel roads and so are you and many more African countriesSo in short you just confirming to us that rural roads in Tanzania are in deplorable state? Continue giving them those fuel-guezzlers waendelee kuchafua nazo vumbi vijijini as the poor rural folk choke in the resulting air pollution ocassioned by poor roads
Waziri Bashe ni waziri kichwa sana
😆😆😆 We kajamaa una shida sana,wa kupika data yuko chini ya ardhi huko.Huo ni uongo mapato yameshuka kwa nusu jombaaa sisi tunajua siri nyingi wewe hsta ujui kuwa mama anaumwa ugonjwa mbaya sana
Kunyaland hakuna ukabila bali Tz ndio kuna ukabila, vp umefurahiEti Kenya kuna ukabila!![]()
![]()














































Kwani RITES ile ya India ilikuja na behewa? Si tuliipa kila kitu chetuHawatabinafsisha behewa zao hii inamaana reli ni ya serikali ila trc atakuwa na behewa zake na watu binafsi wataruhusiwa kuleta train zao na kulipia kutumia reli hiyo hivyo kuongeza ushindani kwa trc ambayo itasaidia kuboresha huduma kwa mteja
KENYA YAORODHESHWA YA 30 KATI YA MATAIFA 116 YANAYOKABILIWA NA BAA LA NJAA DUNIANI
Kenya imeorodheshwa katika nafasi ya 30 barani afrika kati ya mataifa 116 ambayo yanakabiliwa na baa la njaa katika ripoti ya Global Hunger Index ya 2021.
Ripoti hiyo inaiweka Kenya katika nafasi ya 87 kati ya nchi 116 ambazo zilizingatiwa duniani kote.
Asilimia 23 ya Wakenya hulala njaa kila siku , kulingana na ripoti hiyo, huku zaidi ya watoto 650,000 walio chini ya miaka mitano wanahitaji matibabu ya utapia mlo.
Nataka kuwekeza nguvu zangu zote kuwatumikia wakaazi wa Lunga Lunga, asema waziri Mangale Chiforomodo
Miongoni mwa sababu zilizochangia idadi kubwa ya watu ambao hawawezi kupata milo inaofaa ni pamoja na janga la COVID-19, mabadiliko ya hali ya hewa na migogoro ulimwenguni.
Wengi ya wakenya tulioongea nao wamekubaliana na ripoti wakisema ukosefu wa ajira na hali ngumu ya uchumi imechangia pakubwa kwa hali ya njaa nchini.
My Take
Hawa watu ni wapumbavu sn, karne ya 21 bado wanapambana na njaa.View attachment 2099525
Acha aibu msee 😂😂😂😂Jamaa anapost picha za wapi huyu![]()
So you want to compare Tz na Kenya kwenye njaa? Una akili sawa sawaWhere we are
View attachment 2099529
Where you are
View attachment 2099549
Uko na ukondoo sana wewe. Your poverty stricken country is suffering from hunger and malnutrition worse than Kenya na uko hapa ukipayuka nonsense
View attachment 2099538









😂😂😂😂😂😂😂 we mkenya umenifanya nicheke tu.Eti Kenya kuna ukabila! 😂 😂
Mkuu katika hili unamuonea Magufuli, hakuwa mkabila hata kidogo, katika Baraza lake la mawaziri wasukuma hawajazidi watatu, makatibu wakuu sio zaidi ya 5. Sijui unaposema alikua mkabila unamaanisha nini.Aawapii Wasukuma walikuwa juu ya wengine angalia nominations! Huwezi tambua kwavile inawezekana nawe ni ngosha! Wee acha bwana kuna watu wamenyanyaswa kinoma kisa itikadi! Huo utakatifu unajaribu kumpa mwendazake hakuwa nao! Funika kombe mwanaharamu apite!
Nyumba kama hizo na ukijani upo sana tu na zaidi Kigamboni apartment za watumishi,NSSF na Avic town.Watanzania wamekuwa wakipiga sana kelele kuhusu greenery ya Nairobi na kuiita msitu. Hii Kelele yote ni kwa sababu jiji lao halina green spaces kwa sababu ya kutekwa nyara na uswazi kila kona.
What these people don't realize is that behind hizo "misitu" kuna majumba za kifahari you won't find anywhere in Dar.
Bongalalas, next time you see those tall green trees covering most parts of Nairobi, don't get intimidated, these are the type of houses found below that green cover you see and which stupidly intimidates you View attachment 2099309View attachment 2099313View attachment 2099315View attachment 2099319View attachment 2099320View attachment 2099329View attachment 2099394View attachment 2099395View attachment 2099413View attachment 2099414View attachment 2099415View attachment 2099416