Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asa ww unaemtibia Burundi na Malawi

Asa ww Mkenya unaemtibia Mrund na Mmalawi sisi ndiye tunayekutibia.
Hata hao Warundi wapo kibao huku wanatibiwa tena na kuomba uraia kabisa wakidai waha kumbe warundi.
80% ya manpower ya mashamba ya Kigoma na Katavi ni warundi, wanatia huruma sana ila ndio hivyo life's fair.
 
Wewe mzee wa kuona giza ukiskia neno bridge unafikiria ni your typical definition.. ati bridge lazima kuwe na maji chini yake 😂🤣🤣🤣🤣
who tf is a fool here? rudi shule mzae,
Hivi Kunyaland mna daraja hata la 500 m la kuvuka maji? Unaleta viaduct inavuka ardhi unalinganisha na daraja linavuka maji? Get a 500 m first!
 
Hii barabara pamoja na Mandela zilijengwa na kampuni moja ya Uingereza iliyoitwa Mowlem (miaka ya 1982). Ilijengwa kwa kiwango cha juu sana, including sidewalks and bike lanes. Haikuwahi kuwa na shimo hata moja kwa miaka 15 baada ya kujengwa.
Hii ni barabara nzuri sana imepoa mno.. inafanana quality na barabara inayotokea Kurasini interchange kupita uwanja wa taifa all the way to Tazara interchange, sijui inaitwaje jina lake
 
Watu wenye akili they do some serious works
IMG_9365.jpg
 
Hii ni barabara nzuri sana imepoa mno.. inafanana quality na barabara inayotokea Kurasini interchange kupita uwanja wa taifa all the way to Tazara interchange, sijui inaitwaje jina lake
Hiyo inayopita uwanja wa taifa ndiyo hiyo inayoitwa Mandela road (zamani ikiitwa Port Axis). Inaanzia bandarini (bandari road) mpaka ubungo (Kijazi interchange).
 
Back
Top Bottom