Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehe mkenya aende tz kutibiwa moyo......lol. That's a direct death sentence.......all tanzanian politicians rush to Nairobi hospital......why can't they get treated there
Wapo na evidence zzipo.
Unakataa nini?
Embu taja hao wanasiasa walokuja kutibiwa kwenu kutoka Tanzania?
Nasubiri majibu.
 
Hapo tayari umeshadanganya.
Rwanda ina huduma mbovu za afya East Africa nzima hakuna.
Ktk health services Rwanda iko nyuma usituletee data uchwara
Leta ile inawarank juu tuone......you can't decide what you want to see .Rwanda are using drones to distribute medical supplies nyinyi shindeni hapo.......
 
Leta ile inawarank juu tuone......you can't decide what you want to see .Rwanda are using drones to distribute medical supplies nyinyi shindeni hapo.......
Rwanda kutumia drones hai justify kuwa ina huduma bora za kiafya.
Embu acha upopoma.
Tunaangalia infrastructure,aina za matibabu health facilities.
Embu nitajie kitengo cha utoaji huduma za mifupa na moyo hapo Rwanda ?
 
Waonyeshe hiyo 3 level interchange wasije na kiherehere tena.


1.png
 

Siwezi kubisha kwa hilo.
Huwenda kuna sababu za rais kuja hapo Nairobi badala ya kutibiwa hapa hapa kwasababu ya kuweka confidentiality maana taifa lingetambua mapema rais anaumwa na yuko mahututi ingeleta taharuki kwa wananchi.
ILA MAGUFULI HAKUFA KWA CORONA KILICHOMUUA NI MATATIZO YA MOYO YA MUDA MREFU
 

Siwezi kubisha kwa hilo.
Huwenda kuna sababu za rais kuja hapo Nairobi badala ya kutibiwa hapa hapa kwasababu ya kuweka confidentiality maana taifa lingetambua mapema rais anaumwa na yuko mahututi ingeleta taharuki kwa wananchi.
ILA MAGUFULI HAKUFA KWA CORONA KILICHOMUUA NI MATATIZO YA MOYO YA MUDA MREFU
 
Siwezi kubisha kwa hilo.
Huwenda kuna sababu za rais kuja hapo Nairobi badala ya kutibiwa hapa hapa kwasababu ya kuweka confidentiality maana taifa lingetambua mapema rais anaumwa na yuko mahututi ingeleta taharuki kwa wananchi.
ILA MAGUFULI HAKUFA KWA CORONA KILICHOMUUA NI MATATIZO YA MOYO YA MUDA MREFU
Acha upopoma 😂😂, Magufuli hakupelekwa NAIROBI, Angalia iyo video amepost huyo tahira, usikubaliane na hizi mbwa zikipost vitu mpaka uvipitie na viwe na uthibitisho from the reliable sources, hawa jamaa uongo ni asili yao.. Magufuli hakuwahi kulazwa NAIROBI full stop.. hizo zilikua ni propaganda za mtu mmoja anaitwa LISSU, hizi mbuzi za kenya zikaondoka na hiyo propaganda ili kupata milage humu kwenye battle
 
Acha upopoma 😂😂, Magufuli hakupelekwa NAIROBI, Angalia iyo video amepost huyo tahira, usikubaliane na hizi mbwa zikipost vitu mpaka uvipitie na viwe na uthibitisho from the reliable sources, hawa jamaa uongo ni asili yao.. Magufuli hakuwahi kulazwa NAIROBI full stop.. hizo zilikua ni propaganda za mtu mmoja anaitwa LISSU, hizi mbuzi za kenya zikaondoka na hiyo propaganda ili kupata milage humu kwenye battle
😐😐😐😐 ngojea tuutafute ukweli zaidi.
Lakini kweli haioneshi akiwa anatibiwa.
 
Back
Top Bottom