Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa swali langu kama hii project ina focus Kenya kwa wingi wakati jina la project ni Lapsset huoni ni lugha ya mshindwaji ,huwa mnatangulia kichwa kichwa alafu mnapigwa hasa
Na wewe umesoma ukaelewa project vizuri?.., na pia umesoma nilicho andika na kuelewa ama unakurupuka tu? maana ya ku focus Kenya kwa wingi ama kwa upana ni nini?.., another kilaza, shirikisha ubongo kabla ya ku type 😂 😂 😂 😂 😂
 
Burden of proof ni kwako wewe ulie ropokwa humu bila supportig evidence, ama kwa yale nimeweka leta na yako with reputable source upinge, domo domo ndio mnazo, jibu zero, mtanyooka tu , support your idiocy nione..., nyambaff
Tuanze na namba Moja
1)Amani, umoja na mshikamano
 
Umekimbilia hio., sawa.., next..., taratibu mzee usije uka jikwaa, mie sina haraka
Hapo umekwama sio?, Kila Moja ni ten points, hapo Tanzania 10, Kenya 0

Tuje namba mbili
2) Uzalishaji na kujitoshekeza kwa chakula
 
Hapo umekwama sio?, Kila Moja ni ten points, hapo Tanzania 10, Kenya 0

Tuje namba mbili
2) Uzalishaji na kujitoshekeza kwa chakula
pia na Uganda wako pale, nothing spectacular.., next?..,
 
Back
Top Bottom