Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wadanganyika wanafananisha pesa za mkenya member wa jamii forums na pesa za msanii wa kwao mkubwa diamond platnumz. KENYA LANES!
ata mi nashangaa... raia wa kawaida, a mere jf member vs an international icon. that's nonsense.. it doesn't make any logic
 
wewe wewe The best 007.......... wapi hela zako!, kenpaulite ametuonesha, ichoboy pia vile, mimi pia vile..... na wewe... wewe ndio unapayuka zaidi humu.
maskini wewe hauna kazi ndo maana unashida jf 24/7, kila uchao. unaandika 131msgs per day! . njoo nikupe kibarua
Inaonekana amekukera Sana..
 
Tatizo kubwa la Afrika kwa ujumla ni uwezo mdogo wa kufikiria, hilo zoezi haliwezi kuwa endelevu kabisa, sidhani Kama litadumu hata wiki Moja, bure kabisa Hawa watu.
Hawatumii usafili wao hao police wanachofanya basi la kwanza kuondoka stendi ndo anakaa askali mmoja nahisi mbele kwa dereva mabasi yote yanayofata nyuma hakuna kulipita ilo basi
 
Hawatumii usafili wao hao police wanachofanya basi la kwanza kuondoka stendi ndo anakaa askali mmoja nahisi mbele kwa dereva mabasi yote yanayofata nyuma hakuna kulipita ilo basi
Mbona kila siku wanalalamika kwamba hakuna polisi wa kutosha, watawatoa wapi hao wa kusindikiza misafara ya "routes zote?.

Vipi kuhusu mabasi ambayo hayaanzii Dodoma lakini yanapita hapo Dodoma Kama "transit" kuelekea mikoani, yanapita kwa muda tofauti?.

Vipi kuhusu huo msafara unaoongozwa na huyo askari, hivi likipata dharura, au wakifika sehemu ya kula au kujisaidia, ni lazima mabus mengine yote nyuma nayo yafanye hivyo hivyo hata Kama hawahitaji hiyo huduma?
 
nataka u mark leo. 19/01/2022. niko na ksh491,201/- ikiwa side hustle tu!. bila kuongeza salo. nataka niku ng'arie, ndio ujue maana civil engineer wa serkali ya kenya ni mtu wa aina gani.
nb: i ll be updating you every 19th of every month till december... sawa👍🏽!
utajua sisi wa kenyareé ni kina nani. watu wa per capita kubwa

matters engineering, taking contractors for a short course. a 3day seminar for invited contractors (grade 8 and above)
State Department Of Public Works View attachment 2088691View attachment 2088688
keep doing your thing bro.....
 
Mbona kila siku wanalalamika kwamba hakuna polisi wa kutosha, watawatoa wapi hao wa kusindikiza misafara ya "routes zote?.

Vipi kuhusu mabasi ambayo hayaanzii Dodoma lakini yanapita hapo Dodoma Kama "transit" kuelekea mikoani, yanapita kwa muda tofauti?.

Vipi kuhusu huo msafara unaoongozwa na huyo askari, hivi likipata dharura, au wakifika sehemu ya kula au kujisaidia, ni lazima mabus mengine yote nyuma nayo yafanye hivyo hivyo hata Kama hawahitaji hiyo huduma?

Pengine hili ni suluhisho la muda mfupi, wakati wakifikiria njia bora zaidi ya kutatua hili kwa kudumu.
 
Back
Top Bottom